Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Salaam:
Sasa hii mada sijui niwekeje lakini, juzi kati nilikuta kipindi ndio kinaishia niliwaona tu kina Gerald hando na wengine wanatuonyesha chumba cha kuvunia mbegu za kiume, kwa uchache niliona kama chumba kimoja safi, self contained,TV kama inch 48" pamoja na vitu vingine.
NB:Sikuona kilainishi.
Sasa jana kuna jamaa yangu kaniuliza utaratibu ukoje haswa kwenye malipo ?
Je, wanunuzi wanaangalia nini haswa kwa yule anayepeleka mbegu zake ukitoa magonjwa ?
Naamini nitapata majibu sahihi na kutoka kwa watu sahihi.
Ahsante, Nawasilisha
Sasa hii mada sijui niwekeje lakini, juzi kati nilikuta kipindi ndio kinaishia niliwaona tu kina Gerald hando na wengine wanatuonyesha chumba cha kuvunia mbegu za kiume, kwa uchache niliona kama chumba kimoja safi, self contained,TV kama inch 48" pamoja na vitu vingine.
NB:Sikuona kilainishi.
Sasa jana kuna jamaa yangu kaniuliza utaratibu ukoje haswa kwenye malipo ?
Je, wanunuzi wanaangalia nini haswa kwa yule anayepeleka mbegu zake ukitoa magonjwa ?
Naamini nitapata majibu sahihi na kutoka kwa watu sahihi.
Ahsante, Nawasilisha