Kupandishwa cheo jeshini huwa wanazingatia nini?

Kupandishwa cheo jeshini huwa wanazingatia nini?

Joined
May 3, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Naomba mnisaidie kitu wana jamiii forum hiv moja ya malengo yangu ni kujiunga na Jeshi kuna kitu nataka nifahamu, hiv unapoingia jeshini nini huwa wanazingatia nin ili upande cheo
 
1. Elimu, kama huna digrii sahau nyota hata kama wewe ni duli.
2. Uzoefu, ukiwa jeshini Kwa miaka 20 utaifikia captain
3. Connection, kama una digrii na unaukoo na maboss wa kijeshi kama mabrigedia kwenda juu au unatoka familia za kina mwalimu, Hassan na ameir utakuwa unapanda Kwa kasi sana.
4. Bahati
 
1. Elimu, kama huna digrii sahau nyota hata kama wewe ni duli.
2. Uzoefu, ukiwa jeshini Kwa miaka 20 utaifikia captain
3. Connection, kama una digrii na unaukoo na maboss wa kijeshi kama mabrigedia kwenda juu au unatoka familia za kina mwalimu, Hassan na ameir utakuwa unapanda Kwa kasi sana.
4. Bahati
Statistics ya kupanda cheo🚫
 
Back
Top Bottom