Kupandishwa Cheo kwenye Utumishi wa Umma baada ya kutokutwa na hatia ya Jinai

Kupandishwa Cheo kwenye Utumishi wa Umma baada ya kutokutwa na hatia ya Jinai

Dr Salla

Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
16
Reaction score
22
Wadau ninaomba kufahamishwa kuwa ni kifungu gani cha sheria katika Sheria ya Utumishi wa Umma ambacho kinatamka kwamba mtumishi wa umma aliyetuhumiwa kwa makosa ya jinai akikutwa hana hatia arejeshwe kazini na apewe stahiki zaje zote ikiwemo na kupandishwa cheo?
 
Back
Top Bottom