Kupandishwa Cheo kwenye Utumishi wa Umma baada ya kutokutwa na hatia ya Jinai

Dr Salla

Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
16
Reaction score
22
Wadau ninaomba kufahamishwa kuwa ni kifungu gani cha sheria katika Sheria ya Utumishi wa Umma ambacho kinatamka kwamba mtumishi wa umma aliyetuhumiwa kwa makosa ya jinai akikutwa hana hatia arejeshwe kazini na apewe stahiki zaje zote ikiwemo na kupandishwa cheo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…