Naomba kuelimishwa jamani mimi ni mmoja wa walimu walioajiriwa mwaka 2011 sasa nataka kujua kupanda daraja kunakuwaje mana nishatimiza miaka mitatu lakini sijapandisha daraja na je inawezekana upanda daraja hata katikati ya mwaka ?
mwaka wa kwanza kazini ulikuwa probation/unasubiri kuthibitishwa.. so mwaka unaanza kuhesabiwa baada ya kuthibitishwa.. this is to say utapanda daraja mwakani mwezi wa SABA(incremental year)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.