mcheki mkojo, kisha fungua kinywa chake angalia kama fizi zimevimba mwosheni kwa kitambaa chenye maji ya uvugvugu na chumvi kinywani huku misugua hizo fizi. at that age possibly ni uti au meno yanaota
Homa ina differentials nying sana dada cha maana ni kwenda kwa Paediatrician ili amuangalie na kufanya vipimo kutokana na atachokiona, shika, papasa au kusikia
always lower tempereture kwa paracetamol na tepid sponging then hurry to a paediatician