Naomba msaada wa kupanga matokeo kuanzia mwanafunzi wa kwanza hadi wa mwisho,
nimeshaandika S/N 1-263,majina ya wanafunzi ,alama zao kwa masomo 9,
Jumla,
wastani.
Nnatumia microsoft excel,window 2003,
natanguliza shukran,
N:B ni mara ya tatu nakuja na uzi huu,
ni kwa sababu bado sijapata msaada.