JohnShaaban
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 464
- 116
Mkuu, salama ya sasa inachakachuliwa, aidha kufidia uwekezaji wa matangazo ya biashara au wajanja wanazipiga China kufatia kupanda kwa mauzo kutokana na matangazo ya sasa.mtakua mnatumia kwenye ile njia ya mtandao.......under normal circumstance hizi condom ni ngumu sana kupasuka
Nimewahi kutumia 'unbranded condom' zinazotolewa bure maofisini, lkn halufu na ukavu viliniboa nikabaki kutumia 'salama'. Recently, baada ya matangazo ya 'salama' kushika kasi nimekuwa nikismell halufu niliyokua nikiichukia ya 'unbranded condoms' kwenye salama na mara mbili zimepasuka; nashukuru mara zote wife amekuwa hayupo danger period!
Nilipoanza kusmell halufu ya zile 'unbranded condoms', ambayo iko concentrated zaidi ya flavor wanazotangaza 'salama' tofauti na zamani, nikaanza kuhisi mchezo mchafu na moja kwa moja nikahisi "we're paying price ya matangazo lukuki kwenye media". Of course, issue ya kupasuka haikunishtua sana kwani nilihisi ulitokana na uvaaji wa haraka. Lakini, kufuatia uzoefu huu toka kwa wadau imefika muda tuchukue hatua maana condom ikipasuka madhala ni makubwa.