kwema humu?
kwa dunia ya sasa kupata kitu mpaka utoe kitu wazee.
kwa dunia ya sasa kupata kitu mpaka utoe kitu wazee.
ukihitaji kazi huyo aliekuunganisha kwenye hiyo kazi kama ya mshahara wa laki 2 kwa mwezi basi na yeye utakuwa unamkutia elfu 30 kwa miezi kadhaa yaani game juu ya game !, na wanawake ndo unakuta rushwa ngono inafanyakazi! hapa duniani ni uwanja zambi tu!.