KERO Kupata barua ya uhamisho kutoka Wizara ya Utumishi imekuwa kero sana

KERO Kupata barua ya uhamisho kutoka Wizara ya Utumishi imekuwa kero sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

ruhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
4,368
Reaction score
6,661
Viongozi wanaohusika kusimamia watumishi wa UMMA jaribuni kuwatendea haki watumishi wenu, kupata barua ya uhamisho kutoka Wizara ya UTUMISHI imekuwa kero sana.

Taratibu za mtumishi kufuata ili kupata uhamisho zinawekwa na wizara lakini bado barua zinachukua zaidi ya miezi Sita (6) kutoka huko Wizarani, mtumishi anaomba kujigharamia uhamisho lakini bado barua yake inachelewa.

Swali: Kuna sababu gani ya kukaa na barua ya uhamisho ya mtumishi ambae amefuata taratibu zote kuanzia kwa mwajiri wake wa sasa hadi anakotaka kuhamia?

Ni kweli kuwa hapo wizarani hakuna kitengo kinachohusika na tathmini kuona ni kwa namna gani mtu anaathirika ki utendaji kazi pindi anaposubiri barua yake ya uhamisho?

Wizara imeanzisha utaratibu wa ESS (Online employees self services) tukidhani kuwa itapunguza urasimu wa uhamisho hapo Wizarani lakini bado shida ipo pale pale.

Kama barua inachukua kipindi cha miezi zaidi ya 6 kwenu nyie PEPMIS mnajazaje?

Badilikeni, mtu anatoka Sumbawanga kufuatilia barua UTUMISHI, Wizara inakuwa kero sasa.
 
Viongozi wanaohusika kusimamia watumishi wa UMMA jaribuni kuwatendea haki watumishi wenu, kupata barua ya uhamisho kutoka Wizara ya UTUMISHI imekuwa kero sana.

Taratibu za mtumishi kufuata ili kupata uhamisho zinawekwa na wizara lakini bado barua zinachukua zaidi ya miezi Sita (6) kutoka huko Wizarani, mtumishi anaomba kujigharamia uhamisho lakini bado barua yake inachelewa.

Swali: Kuna sababu gani ya kukaa na barua ya uhamisho ya mtumishi ambae amefuata taratibu zote kuanzia kwa mwajiri wake wa sasa hadi anakotaka kuhamia?

Ni kweli kuwa hapo wizarani hakuna kitengo kinachohusika na tathmini kuona ni kwa namna gani mtu anaathirika ki utendaji kazi pindi anaposubiri barua yake ya uhamisho?

Wizara imeanzisha utaratibu wa ESS (Online employees self services) tukidhani kuwa itapunguza urasimu wa uhamisho hapo Wizarani lakini bado shida ipo pale pale.

Kama barua inachukua kipindi cha miezi zaidi ya 6 kwenu nyie PEPMIS mnajazaje?

Badilikeni, mtu anatoka Sumbawanga kufuatilia barua UTUMISHI, Wizara inakuwa kero sasa.
Wanakwambia siku 21 ila uhalisia ni miezi 5 hadi mwaka
 
Jamaa huwa ni wanashida kubwa sana hapo wizarani.
Sijui utaratibu wao wa kushughulikia barua za uhamisho ukoje na hiyo barua inapita kwa watu wangapi lakini inaonekana idara ya uhamisho ina shida sana inahitajika kufumuliwa
 
Aaaah,bado hamjasema.nikiwaomba wasitishe uhamisho kwa mda kuna mambo tunayakamilisha,lakini pia mitihani inayofuatana inaanza kwa hiyo kwa sasa kuweni wapole
 
Viongozi wanaohusika kusimamia watumishi wa UMMA jaribuni kuwatendea haki watumishi wenu, kupata barua ya uhamisho kutoka Wizara ya UTUMISHI imekuwa kero sana.

Taratibu za mtumishi kufuata ili kupata uhamisho zinawekwa na wizara lakini bado barua zinachukua zaidi ya miezi Sita (6) kutoka huko Wizarani, mtumishi anaomba kujigharamia uhamisho lakini bado barua yake inachelewa.

Swali: Kuna sababu gani ya kukaa na barua ya uhamisho ya mtumishi ambae amefuata taratibu zote kuanzia kwa mwajiri wake wa sasa hadi anakotaka kuhamia?

Ni kweli kuwa hapo wizarani hakuna kitengo kinachohusika na tathmini kuona ni kwa namna gani mtu anaathirika ki utendaji kazi pindi anaposubiri barua yake ya uhamisho?

Wizara imeanzisha utaratibu wa ESS (Online employees self services) tukidhani kuwa itapunguza urasimu wa uhamisho hapo Wizarani lakini bado shida ipo pale pale.

Kama barua inachukua kipindi cha miezi zaidi ya 6 kwenu nyie PEPMIS mnajazaje?

Badilikeni, mtu anatoka Sumbawanga kufuatilia barua UTUMISHI, Wizara inakuwa kero sasa.
Tunaiomba wizara ya utumishi ishughulikie vibali vya uhamisho vinachelewa Sana kwakweli,
 
Sijui utaratibu wao wa kushughulikia barua za uhamisho ukoje na hiyo barua inapita kwa watu wangapi lakini inaonekana idara ya uhamisho ina shida sana inahitajika kufumuliwa
Kabisa Yani
 
Kibaya zaidi Waziri wa Utumishi anakuwa mstari wa mbele yeye na Katibu mkuu wake kuwasema viongozi wa taasisi zingine na maafisa utumishi kuwa wanachelewesha haki za watumishi.

Wakati wao ndiyo wamekuwa kinara wa kutotoa barua na stahiki za watumishi wa Umma kwa wakati.
Hii wizara ijitathmini kwakweli.
 
Yaani kweli ni tatizo kubwa mfumo wa ess kwenye uhamisho hauna maana yeyote ,haiwezekani approval inachukua karibia mwaka mzima ,kama mambo ndio haya ni Bora wauondoe tu iwe kama zamani ,haiweziani mtu anajaza ombi la kuhama na asipewe majibu karibia mwaka mzima ,kwanini jibu la kukubaliwa au kukataliwa kisitolewe hata ndani ya miezi miwili ili muombajia aone anajipanga vipi

Ina maana wao hawaingii kwenye ess kujaza pepmis zao na kuona kazi zao za ku approve au kureject maombi ya watu ?

ESS ni nzuri sana lakini ni tatizo pia
 
Back
Top Bottom