Kupata haja kubwa kila baada ya juma moja

Team R

Senior Member
Joined
Jan 2, 2014
Posts
186
Reaction score
33
Nawasalimu wanajf wenzangu,

Nina swali linalonitataza,kuna kijana anaitwa joji a.k.a panga la shaba [kaniruhusu kuandika haya] anakula chakula kila siku ila baada ya wiki moja na siku moja ndipo anahisi haja kubwa na akijamba tu kuhisi haja kubwa inapotea.

Je, ana tatizo gani,ushauri wenu wanajf ni muhimu kwa jamaa yetu.
 

kufunga choo ni dalili ya magonjwa mengi tena hatari mwambie aende hospitali mapema.
 
Pia ni dalili ya vidonda vya tumbo.

Ila ni vyema aende hospital kwanza sababu siku hiz magonjwa ni mengi Mkuu.
 
anamatatizo kwenye mfumo wa chakula. anitafute kwenye 0657 317631 nitamsaidia kumpa dawa.
 
Kula matunda kama Ndizi, papai,parachichi na mengine huwezi kosa choo pamoja na kunywa maji mengi
 


Huyo Martin Kadinda wako anashikishwa ukuta? Lete habari zake kamili, ukija hapa kutudanganya huwezi pata jibu sahihi. Kama ashikishwi ukuta, je anajichua kwa kujikoki madodoki, matango, na karoti ile sehemu ya niniliu? Funguka kijana wala usituogope, tupo hapa kukusaidia tu.
 


Mkuu funguka zaidi, sema tu kama unajishindilia midodoki kunduni ama unashikishwa ukuta....woga wa nini? Nyie si mnajitakia wenyewe kufanya hii starehe huko Dar na Zanzibar?
 


Kama wanavyosema wenzangu hapo juu, funguka we kijana wa Dar....unashikishwa ukuta ama unajishindilia matunda tigoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…