kupata maumivu mwanamke wakati wa kujamiiaaa

pink-anca

New Member
Joined
May 26, 2017
Posts
3
Reaction score
2
Habari zenu jamani nilikuwa naitaji kufaamu tatizo hili linasababishwa na nini mwanamke kupata maumivu kila wakati wa kujamiiaaa na na mwenza wake na kuwa mkavu kabisa na kupelekea kutofurahia tendo na kuishia kuapata maumivu tatizo hili ni kwa wanawake 60%
 
kwa kwel tatzo hlo ni kubwa sana, hasa kwa wakna dada, ila mwanamke kuwa mkavu wakat wa kujamiana kunatokana na maandaliz kabla ya tendo lenyewe, na ukichunguza vzur mabinti wakavu mara nyingi hata maumbile yao huwa madogo membamba kikubwa ajitahdi kujizoesha kutumia maji kwa.

Wingi kabla ya tendo na sio kila ukitaka kujamiana unywe maji bali liwe ni suala endelevu kwsbbu wanawake wengi huwa ni wavivu kwa vtu vngi hata vile ni muhimu kwao na kwa maitaji yao kikubwa mjulishe afanye hivyo kama itashndikana basi utaenda nae hospital na kuongea na dactar atampatia mafuta ambayo yatamsaidia au kuwa saidia kwa hilo. Pole sana ndugu maana hilo ni jambo au suala muhimu sana[/red]
 
Hana hisia
Hana hamu
Hajisikiii
Anafanya mawazo instagram
Dawa ni kujitoa kimawazo
kimwili
Kiakili
kwenye tendo husika
Mapenzi raha saana!
 
asante kwa kunielewa ndugu na ushauri wako nitamwambia uafanyie kazi
 
Hana hisia
Hana hamu
Hajisikiii
Anafanya mawazo instagram
Dawa ni kujitoa kimawazo
kimwili
Kiakili
kwenye tendo husika
Mapenzi raha saana!
Unajua nmecheka kwa nguvu[emoji23] [emoji23] [emoji23] eti mawazo Instagram.

By the way,kuna nyuzi zimeanzishwa Huku kwa wenye tatzo hilo,fuatilia Huku MMU au kile jukwaa kwa madoct
 
Bebe ile range inatoka lini bandarini?
Very soon Mrembo wangu...jiandae kutopanda daladala tena...
that day...utupie kile kiwalo chako kifupi nikipendacho na high hills utatokelezea hatariiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…