Kupata mchumba hapa am serious

Kupata mchumba hapa am serious

kyaibumba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2017
Posts
715
Reaction score
994
Sizunguki zunguki
Nataka mke wa kuoa ili nyumbani kwetu tu talk openly, we have to dare to talk (jf slogan)

Sifa
Sifa zangu
A. Kipato cha kati 1000 USD to 2000 USD per month
B. Umri wangu 30 years
C. Umbo langu mrefu ,si mnene sana wala mwembamba,
D. Mfanyakazi wa kampuni moja hapa Ukraine Kiev,


Sifa za nimtakaye
1. Miaka 23-27
2. Rangi pleas hasiwe aliwahi kujichubua awe natural
3. Sitaki minene nataka wa kawaida hasiwe mnene mno ila awe wa saizi ya kati
Mi siyo mnene wala mwembamba sana ni wa saiz ya kati ila ka chura kawepo
4. Jamani sitaki mfupi.Maana mimi mrefu

5. Uwe na passport au uwe na vigezo vya kupata passport

6. Uwe na ujuzi wa kompyuta na tiyari kuwa karani

7. Please husiwe na mtoto narudia sitaki wa mtoto mimi
8. Uwe unatokea kagera, ama karagwe, bukoba, missenyi,

9. Elimu isizidi degree moja na penyewe diploma naiprefer zaid maana sitaki league kwangu,

10. Nitawapa kipaumbele wanaotokea kwenye familia zao, wanaopanga wengi siwaamini

11. Sitaki mfuasi wa vyama sijui UKAWA au CCM
12. Familia unayotokea iwe inaheshimika ili nikiona unazingua niwe na sehem ya kukuwajibisha
13. Mkristo wa dhehebu lolote
+38071591180
Naomba mni PM

Chungulia zaid hapa
Mwanaume usikate tamaa kabisa, natusua maisha Ukraine hivi hivi

Na hapa
Hatua nilizopitia mpaka kufika Ukraine, na bado niko njiani kwenda nchi ya ahadi Norway
 
Ooo hatupati wachumba na blaa kibao, haya sasa, tuma CV yako hapo, kuolewa nje nje.
 
Tunapoelekea matangazo haya hayatakuwa na tofauti na yale ya application za kazi...maana vigezo hivyo vipo akilini pako tyr hyo ni malaika wako ktk fikra.....all the best ktk safari
 
Tunapoelekea matangazo haya hayatakuwa na tofauti na yale ya application za kazi...maana vigezo hivyo vipo akilini pako tyr hyo ni malaika wako ktk fikra.....all the best ktk safari
Ndo vigezo nataka Ili wadada wajue thamani yao, nimesahau ambaye amewahi kutoa mimba apite kushoto
 
Back
Top Bottom