Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzigua njoo umchukue ndugu yako hukuSitaweza mm ile utumie ufanye na diet shunie mm ninavyopenda kula ukinipenda unipende tu na ubonge wangu hakuna namna
WoooiHawafai dada ni wa kuogopwa hao
Hivi ndio anamkosa wa kabila lake je ataweza kuowa wa kabila lingine niko nawaza tu hapaWoooi
Hawa wadogo zetu wako na kazi sana jamani!!
Atakuwa single mileleHivi ndio anamkosa wa kabila lake je ataweza kuowa wa kabila lingine niko nawaza tu hapa
Kwahiyo atakufwa na hamu zake sababu ya kuchagua ukabilaAtakuwa single milele
KabisaaaKwahiyo atakufwa na hamu zake sababu ya kuchagua ukabila
Mkuu leo najiandaa kwenda kwenye festival hapa OdessaMkuu hapo kwenye kutokea kagera umekuwa mkabila sana. Sisi ni Watanzania usingeweka kigezo cha ukabila. Hizo sifa ulizoweka zitawakimbiza wengi.
Anyways mkuu maandalizi ya Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yapoje hapo Kiev?
Mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] au pamepoa.. Bado siku saba Liverpool achukue ubingwa hapo Kiev
Mambo ni motooMkuu hapo kwenye kutokea kagera umekuwa mkabila sana. Sisi ni Watanzania usingeweka kigezo cha ukabila. Hizo sifa ulizoweka zitawakimbiza wengi.
Anyways mkuu maandalizi ya Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yapoje hapo Kiev?
Mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] au pamepoa.. Bado siku saba Liverpool achukue ubingwa hapo Kiev
NimechekaIla wahaya jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa Unataka mke au karani?
Jamaa we umanichekesha jamaa kashakuwa m Ukraine teh tehAlafu mkuu, kwenye zile threads zako zingine uliandika kwa kiswahili fasaha na mujarab kabisa.....
Lakini huu uzi wa leo, naona unakoseakosea kuandika kiswahili fasaha, au kwakua tayari umesha fika huko Ukraine..... tehteehhh
Kuna hatari ya kuja kumsumbua yule naibuu wa healthyMhaya hajawahi kuacha ujivuni salama....
Mzee upo ukraine unapata dola 1,000/= siku ukifika dola 15,000/= si utaweka mpaka awe na kigezo cha ubunge au waziri?
Ameanza na kusahau kibantu... tehteehhhJamaa we umanichekesha jamaa kashakuwa m Ukraine teh teh