Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu mwanamke anaweza kupata mimba muda gan baada ya kujifungua ikiwa haoni siku zake...?...
.
.
.
2.
kuna uwezekano wa kupata mimba ukiwa hujaingia kwenye siku zako....?
hawezi kupata mimba ikiwa haoni siku zake.kipindi.cha kupata mimba baada ya kujifungua hutofautiana mtu na mtu kulingana na muda anaonyonyesha.kama ananyonyesha mara kumi na kuendelea kwa siku anaweza kukaa hata miaka 2 bila kupata mimba.kama ujuavyo kunyonyesha pia ni njia mojawapo ya uzazi wa mpango zile hormons ambazo zinatakiwa kurutubisha mayai basi zinakua zipo busy kuzalisha maziwa so kwa kipindi hiki basi mama hawez kuona siku zake.mwingine anaweza kujifungua then after one month akaanza kuona siku zake.point ni kwamba kama haoni siku zake hawez kubeba mimba.
ameline, chaka hilo aisee. Ukisikia kuumbuka na voda fasta ndio hiyo. Mwanamke baada ya kujifungua anaweza kupata mimba kabla ya kuanza kuona siku zake. Huyo ambae mtoa mada anamuongelea sio ajabu anayo mimba tayari.
Mtoa mada, hayo mambo unapaswa kuongea na daktari wako ama wenu kabla hata ya kujifungua. Siku salama ni zile 40 za mwanzo tu. Siku unarudi kwa dr na kulalama hujaona siku anaweza kukusapraizi na ujumbe kuwa una mimba ya miezi mitatu.
ameline, chaka hilo aisee. Ukisikia kuumbuka na voda fasta ndio hiyo. Mwanamke baada ya kujifungua anaweza kupata mimba kabla ya kuanza kuona siku zake. Huyo ambae mtoa mada anamuongelea sio ajabu anayo mimba tayari.
Mtoa mada, hayo mambo unapaswa kuongea na daktari wako ama wenu kabla hata ya kujifungua. Siku salama ni zile 40 za mwanzo tu. Siku unarudi kwa dr na kulalama hujaona siku anaweza kukusapraizi na ujumbe kuwa una mimba ya miezi mitatu.
inawezekana vipi mimba ikatungwa pasi na kuwepo urutubishwaji wa yai? hamnaga hiyo ndugu.wapo watu wanalia usiku na.mchana wapate siku zao ili wabebe mimba labda ushee hako ka uzoefu ka kupatikana na mimba pasi na kupata bleed tafadhali
nakubaliana na King'asti. kuna uwezekano kupata mimba kabla ya kuona siku zako baada ya kujifungua. principle ni kwamba, ili upate siku zako lazima upevue yai ila lisirutubishwe. kama unanyonyesha unakuwa mara nyingi unalindwa na phenomenon tunaita "lactational amenorrhea" , kwamba mfumo wako wa uzazi unazuiwa kuivisha na kupevusha mayai,, hivyo hupati siku zako. na si kweli kwamba zile hormone za kupevusha mayai zitakuwa zime-concentrate kwenye kutengeneza maziwa,, tuheshimiane tafadhali . hormine hizi ni tofauti na hu-interact only through negative feedback kuleta hyo lactation amenorrhea.
kwa hvyo basi, kuna uwezekano kwamba ukapevusha yai na likarutubishwa, hivyo ukabeba mimba nyingine bila ya kurudi kwenye siku zako za bleed. hii ni rare kwa wale wanaonyonyesha vizuri (kama nilivyoeleza juu) , lakini uwezekano bado upo.
inawezekana vipi mimba ikatungwa pasi na kuwepo urutubishwaji wa yai? hamnaga hiyo ndugu.wapo watu wanalia usiku na.mchana wapate siku zao ili wabebe mimba labda ushee hako ka uzoefu ka kupatikana na mimba pasi na kupata bleed tafadhali
nakubaliana na King'asti. kuna uwezekano kupata mimba kabla ya kuona siku zako baada ya kujifungua. principle ni kwamba, ili upate siku zako lazima upevue yai ila lisirutubishwe. kama unanyonyesha unakuwa mara nyingi unalindwa na phenomenon tunaita "lactational amenorrhea" , kwamba mfumo wako wa uzazi unazuiwa kuivisha na kupevusha mayai,, hivyo hupati siku zako. na si kweli kwamba zile hormone za kupevusha mayai zitakuwa zime-concentrate kwenye kutengeneza maziwa,, tuheshimiane tafadhali . hormine hizi ni tofauti na hu-interact only through negative feedback kuleta hyo lactation amenorrhea.
kwa hvyo basi, kuna uwezekano kwamba ukapevusha yai na likarutubishwa, hivyo ukabeba mimba nyingine bila ya kurudi kwenye siku zako za bleed. hii ni rare kwa wale wanaonyonyesha vizuri (kama nilivyoeleza juu) , lakini uwezekano bado upo.
wakuu mwanamke anaweza kupata mimba muda gan baada ya kujifungua ikiwa haoni siku zake...?...
.
.
.
2.
kuna uwezekano wa kupata mimba ukiwa hujaingia kwenye siku zako....?
Kutokwa damu inahusiana na hormones na kujengwa kwa ukuta ambao unaandaa mazingira ya kushikiza mimba kwenye kizazi. Kupevuka yai nayo ni process tofauti. Kurutubishwa kwa yai ndio inahusiana na uwepo wa mbegu za mwanaume.
Kwa hiyo unaweza ukakutana na mumeo na mimba ikatungwa hata kama mzunguko wako haujaanza rasmi. Kutegemeana na hormones, wanawake tofauti wanakuwa na upevushaji mayai kwa siku tofauti hata kama mzunguko wao wa damu ni siku 28 tu. Kuna mwingine anaweza kutunga mimba siku ya 25, na bado mzunguko ni siku 28.
Bottom line, ukiwa na shida na maswali yoyote ya afya ni muhimu sana kujadiliana na daktari mhusika. Kuna mengi sana ya kujifunza kila siku
Tunajifunza kila siku.
Na kwa sababu kuna uwezekano wa kutunga mimba hata kabla ya kuona siku baada ya kujifungua, inashauriwa kutotumia njia zozote za uzazi wa mpango hadi mama ananapata siku zake. Na ni muhimu kupata huduma hiyo ndani ya siku 10 toka aanze siku zake.
ameline, kuna kilio kingine tofauti. Unaenda kwa dr unamuambia nimemaliza maternity, nimeanza na kazi ila bado sijaanza kuona siku zangu. Unapewa 'good news' umeshatinga mimba ya miezi miwili. Lazma akili ihame kwa mvua ya baraka lol
hawezi kupata mimba ikiwa haoni siku zake.kipindi.cha kupata mimba baada ya kujifungua hutofautiana mtu na mtu kulingana na muda anaonyonyesha.kama ananyonyesha mara kumi na kuendelea kwa siku anaweza kukaa hata miaka 2 bila kupata mimba.kama ujuavyo kunyonyesha pia ni njia mojawapo ya uzazi wa mpango zile hormons ambazo zinatakiwa kurutubisha mayai basi zinakua zipo busy kuzalisha maziwa so kwa kipindi hiki basi mama hawez kuona siku zake.mwingine anaweza kujifungua then after one month akaanza kuona siku zake.point ni kwamba kama haoni siku zake hawez kubeba mimba.
Kutokwa damu inahusiana na hormones na kujengwa kwa ukuta ambao unaandaa mazingira ya kushikiza mimba kwenye kizazi. Kupevuka yai nayo ni process tofauti. Kurutubishwa kwa yai ndio inahusiana na uwepo wa mbegu za mwanaume.
Kwa hiyo unaweza ukakutana na mumeo na mimba ikatungwa hata kama mzunguko wako haujaanza rasmi. Kutegemeana na hormones, wanawake tofauti wanakuwa na upevushaji mayai kwa siku tofauti hata kama mzunguko wao wa damu ni siku 28 tu. Kuna mwingine anaweza kutunga mimba siku ya 25, na bado mzunguko ni siku 28.
Bottom line, ukiwa na shida na maswali yoyote ya afya ni muhimu sana kujadiliana na daktari mhusika. Kuna mengi sana ya kujifunza kila siku
inawezekana vipi mimba ikatungwa pasi na kuwepo urutubishwaji wa yai? hamnaga hiyo ndugu.wapo watu wanalia usiku na.mchana wapate siku zao ili wabebe mimba labda ushee hako ka uzoefu ka kupatikana na mimba pasi na kupata bleed tafadhali