Kupata mimba

Kupata mimba

kinehe

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2016
Posts
205
Reaction score
198
Habari, naomba kuliza hivi inawezekana mwanamke akaingia hedhi na still bdo akawa ana mimba hasa kwa wiki za mwanzo??
 
Inawezekana ulipata conceptional bleeding sio hedhi.

Fafanua ilikuaje hiyo unayoita hedhi
 
Wiki ya kwanza baada ya hedhi mara nyingi inakua safe hasa kwa wale wanaoenda siku tatu we ni bata tuuu toa mikao ya mpk mtaka cha uvunguni ila kuanzia siku ya saba pale cheza kwa makini

Buh this applies only kama una regular period haichanganyi na pia hutumii contraceptives
 
Habari, naomba kuliza hivi inawezekana mwanamke akaingia hedhi na still bdo akawa ana mimba hasa kwa wiki za mwanzo??
Nahis ungeuliza kwamba je inawezekana MTU akawa mjamzito na still akaendelea kupata hedhi? Jibu ni hapana.....Na ikitokea basi ni abonomality ....kuna tatizo mahali au pengine haikuwa mimba
 
How & why !!!?

Wengine ni ishara ya mimba kutaka kutoka na wengine ni mwili wa mtu ulivyo ndani.

Wengine uendelea kupata na kuishia katikati, inakuwa damu iloyo nje ya fuko alilo kiumbe cha Mola.

Mengine waliosomea udaktari watajua kiundani labda sababu unazotaka kujua.

Ila ni muhimu sana sana kukimbilia hospitali mwanamke mwenye mimba anapoona damu inatoka, kuangaliwa kuwa kizazi hakitaki kufunguka kuachia mimba au pako vizuri na salama.
 
Wengine ni ishara ya mimba kutaka kutoka na wengine ni mwili wa mtu ulivyo ndani.

Wengine uendelea kupata na kuishia katikati, inakuwa damu iloyo nje ya fuko alilo kiumbe cha Mola.

Mengine waliosomea udaktari watajua kiundani labda sababu unazotaka kujua.

Ila ni muhimu sana sana kukimbilia hospitali mwanamke mwenye mimba anapoona damu inatoka, kuangaliwa kuwa kizazi hakitaki kufunguka kuachia mimba au pako vizuri na salama.
Zote ulizozitaja ni abnormalities ....under normal circumstance it's impossible to occur
 
Back
Top Bottom