kivurumula
Member
- Jun 1, 2022
- 45
- 47
Bandugu kama kichwa Cha juu kinavyojieleza nilitaka kufahamu mikopo ya halmashauri kwa ajiri ya vijana kujikwamua katika wimbi la ajira na umasikini.
Vipi ni nani aliewahi pata mkopo na taratibu zikoje
Wasalam
Vipi ni nani aliewahi pata mkopo na taratibu zikoje
Wasalam