Kupata mkopo wa halmashauri taratibu zikoje?

Kupata mkopo wa halmashauri taratibu zikoje?

kivurumula

Member
Joined
Jun 1, 2022
Posts
45
Reaction score
47
Bandugu kama kichwa Cha juu kinavyojieleza nilitaka kufahamu mikopo ya halmashauri kwa ajiri ya vijana kujikwamua katika wimbi la ajira na umasikini.

Vipi ni nani aliewahi pata mkopo na taratibu zikoje

Wasalam
 
Back
Top Bottom