Kupata mtaalamu wa sheria kutengeneza memorandum of association

H.M.MUYANGO

Senior Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
110
Reaction score
9
Napenda kujua na gharama zake pia nijue na namna ya kumpata huyo lawyer na utaratibu wake upoje maana nature ya kampuni ninayotaka kuianzisha ni partnership members.
 
Napenda kujua na gharama zake pia nijue na namna ya kumpata huyo lawyer na utaratibu wake upoje maana nature ya kampuni ninayotaka kuianzisha ni partnership members.
mimi si lawyer ila nina uzoefu wa kuandaa hizo kazi na kisha nawapa wanasheria wangu kazi ya mihuri .Articles ninazo tayari, ila object clause,capital+share clause.etc nitaandaa baada ya kukusikiliza wewe unataka iweje,waweza pia pitia profile yangu uone feedback niliyotoa kwa kazi nilizofanya na baadhi ya jf members,ukiridhika nipigie kwa 0712742233
 
Napenda kujua na gharama zake pia nijue na namna ya kumpata huyo lawyer na utaratibu wake upoje maana nature ya kampuni ninayotaka kuianzisha ni partnership members.
maloya wengi sana wapo humu. utafanikiwa.
 
maloya wengi sana wapo humu. utafanikiwa.

Okey! wanajamvi nimesha chukua namba zao na nitapima ubora wa huduma na gharama za kila lawyer kwa kukutana nao face2face!the best one nitamchagua kufanya nae kazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…