Kupata mtoto (fertility)

Shanice

New Member
Joined
Jul 24, 2012
Posts
2
Reaction score
0
Naomba kujuwa dawa ya asili kusaidia mayai kupevuka, pia sijisikii hamu ya tendo la ndoa kabisa yaani sina ashki na mume wangu. I'm serious please saidia ushauri nifanyeje au niende wapi nitasaidiwa?
 
Dawa ya Kuamsha tamaa ya kiume na ya kike Ashki : Juisi ya Tangawizi nusu kijiko pamoja na kiini cha njano cha yai la kuku wa kienyeji kilicho chemshwa na Asali safi mbichi ya nyuki. Tumia kila siku kwa muda wa mwezi mmoja. Tumia kisha unipe feedback.@Shanic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…