Kupata period wkt wa safari toka Mtwara kwenda Mwanza

Kupata period wkt wa safari toka Mtwara kwenda Mwanza

Kennedy

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2011
Posts
54,894
Reaction score
64,043
Mimi nasoma chuo Mtwara lkn home ni Mwanzo,tatizo langu kl ninasafiri lzm nipate period,hata km si trh rasmi.Je hali hii husababishwa na nini?Pia hunichosha sana km kn dawa wadau nishaurini,hata ninapokuwa period huwa nakabiliwa na maumivu makali nakosa hamu ya chakula. Kama kuna dawa au ushauri ili niweze kukabili maumivu haja natanguliza shukrani tele!
 
uwe unakunywa pain killers kama paracetamol etc.. pole sana
 
Mimi nasoma chuo Mtwara lkn home ni Mwanzo,tatizo langu kl ninasafiri lzm nipate period,hata km si trh rasmi.Je hali hii husababishwa na nini?Pia hunichosha sana km kn dawa wadau nishaurini,hata ninapokuwa period huwa nakabiliwa na maumivu makali nakosa hamu ya chakula. Kama kuna dawa au ushauri ili niweze kukabili maumivu haja natanguliza shukrani tele!

rekebisha hapo kwenye blue
ngoja wataalam washauri
 
Dr Riwa atakujibu vizuri in a proffessional way but as a lady naweza kukushauri utumie pain killers and uwe na tabia ya kufanya mazoezi often it helps kupunguza maumivu during menstrual period. And periods change depending on so many factors kama stress, mabadiliko ya mazingira, hali ya kiafya, emotions, uchovu and etc. Ni hali ya kawaida kubadilika.
 
Mimi nasoma chuo Mtwara lkn home ni Mwanzo,tatizo langu kl ninasafiri lzm nipate period,hata km si trh rasmi.Je hali hii husababishwa na nini?Pia hunichosha sana km kn dawa wadau nishaurini,hata ninapokuwa period huwa
nakabiliwa na maumivu makali nakosa hamu
ya chakula. Kama kuna dawa au ushauri ili
niweze kukabili maumivu haja natanguliza
shukrani tele!

Pole sana,hapo huna raha hata ya safari,sio siri mi natamani ningepata dawa za kuskip ningetumia, Mungu anisamehe tu ila inaboa sio siri.
 
Kumbe ww unasoma Stella Maris mtwara university college (a constituent college of SAUT), mbna pale chuoni mmeekewa yule nurse ambaye ni sista pliz go and visit her najua atakusaidia.
 
Mimi nasoma chuo Mtwara lkn home ni Mwanzo,tatizo langu kl ninasafiri lzm nipate period,hata km si trh rasmi.Je hali hii husababishwa na nini?Pia hunichosha sana km kn dawa wadau nishaurini,hata ninapokuwa period huwa nakabiliwa na maumivu makali nakosa hamu ya chakula. Kama kuna dawa au ushauri ili niweze kukabili maumivu haja natanguliza shukrani tele!

Try other means of transport, like airline! u have been affected psychologically! plz consult psychologist!
 
Back
Top Bottom