Kupata ufadhili wa wazo la biashara

Kupata ufadhili wa wazo la biashara

music mimi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
485
Reaction score
876
Wakuu naomba mwenye information ya wapi naweza kupata ufadhili wa wazo la biashara. Bado lipo kama wazo sijaanzisha chochote.

Ni app ya kujifunza wakulima nimeshakusanya materials zote nilipokwama ni kugharamia technology yake maana watu wa IT wamenipigia gharama inafika million 8 mpaka 10.

Natanguliza shukrani.
 
Weka wazo lako katika vitendo kwanza lima mwenyewe kwa kutumia wazo lako. Utakachovuna kiuze upate pesa uendelee na huo mradi wa milioni nane hadi kumi, kieletroniki. Kwa njia hiyo utajifunza kwamba kuwaza na kutenda ni vitu viwili tofauti.
 
Weka wazo lako katika vitendo kwanza lima mwenyewe kwa kutumia wazo lako. Utakachovuna kiuze upate pesa uendelee na huo mradi wa milioni nane hadi kumi, kieletroniki. Kwa njia hiyo utajifunza kwamba kuwaza na kutenda na vitu viwili tofauti.
Nimecheka sana....mno yaani
 
Wakuu naomba mwenye information ya wapi naweza kupata ufadhili wa wazo la biashara. Bado lipo kama wazo sijaanzisha chochote.

Ni app ya kujifunza wakulima nimeshakusanya materials zote nilipokwama ni kugharamia technology yake maana watu wa IT wamenipigia gharama inafika million 8 mpaka 10.

Natanguliza shukrani.
Mkuu "BEGINNING IS HALF DONE" alisema Robert Schuller, fanya mambo mawili 1) Tengeneza prototype ya APP yako kisha ifanyie presentation kwa watu/wadau wa kilimo unaohisi wanaweza kukusapoti.
Au kama hiyo itakua ngumu kiasi sababu ya hali kifedha, 2) Liweke wazo lako kwenye maandishi, yaani andika A-Z ya mfumo mzima wa utendaji kazi wa APP yako,
- Inafanya kazi vipi?
- Kwanini mkulima aitumie?
- Itarahisisha vipi maisha ya mkulima?
- Vipi wakulima ambao hawana smart-phone ya kuweka APP yako?
.....na mambo mengine ya muhimu.

Baada ya kuandika vizuri iprint, toa copy kadhaa kisha zisambaze kwa wadau/watu wakilimo.
Nafikiri hiyo itakua nzuri kwa kuanzia, maana hata kama hawata-fadhili kazi yako lakini kuna mrejesho mzuri watakupa utakaosaidia kuboresha APP yako au kutengeza nyingine nzuri zaidi.
 
Wakuu naomba mwenye information ya wapi naweza kupata ufadhili wa wazo la biashara. Bado lipo kama wazo sijaanzisha chochote.

Ni app ya kujifunza wakulima nimeshakusanya materials zote nilipokwama ni kugharamia technology yake maana watu wa IT wamenipigia gharama inafika million 8 mpaka 10.

Natanguliza shukrani.
Fukunyua website ya Usaid huwa wana toa ufadhili wa mawazo ya kibiashara ila nadhani wazo lako yapaswa liwe linagusa jamii moja kwa moja.
 
Mkuu "BEGINNING IS HALF DONE" alisema Robert Schuller, fanya mambo mawili 1) Tengeneza prototype ya APP yako kisha ifanyie presentation kwa watu/wadau wa kilimo unaohisi wanaweza kukusapoti.
Au kama hiyo itakua ngumu kiasi sababu ya hali kifedha, 2) Liweke wazo lako kwenye maandishi, yaani andika A-Z ya mfumo mzima wa utendaji kazi wa APP yako,
- Inafanya kazi vipi?
- Kwanini mkulima aitumie?
- Itarahisisha vipi maisha ya mkulima?
- Vipi wakulima ambao hawana smart-phone ya kuweka APP yako?
.....na mambo mengine ya muhimu.

Baada ya kuandika vizuri iprint, toa copy kadhaa kisha zisambaze kwa wadau/watu wakilimo.
Nafikiri hiyo itakua nzuri kwa kuanzia, maana hata kama hawata-fadhili kazi yako lakini kuna mrejesho mzuri watakupa utakaosaidia kuboresha APP yako au kutengeza nyingine nzuri zaidi.
Okay nimekusoma mkuu, inshort ni App au system ya kuwaunganisha wakulima na wateja wakubwa, wataalam wenye uzoefu, wasambaza mbolea na watu wa pembejeo.
 
Wakuu naomba mwenye information ya wapi naweza kupata ufadhili wa wazo la biashara. Bado lipo kama wazo sijaanzisha chochote.

Ni app ya kujifunza wakulima nimeshakusanya materials zote nilipokwama ni kugharamia technology yake maana watu wa IT wamenipigia gharama inafika million 8 mpaka 10.

Natanguliza shukrani.
Aza na ulichonacho watu wanapenda kuona kwanza ndio watie mpunga wao
 
Ili ufanikishe wazo lako kuna mambo ambayo ni ya msingi inabidi uyazingatie (hasa unapohitaji lipatiwe ufadhili).
1. Je wazo lako linawezekana kutokea (Is the idea feasible?)
2. Wazo lako linaweza kuleta mabadiliko/matokeo?
3. Wazo lako linaweza kudumu ? Linaweza kufanya kazi kwa muda mrefu na matokeo kuendelea kupatikana?

ANGALIZO: Kutokana na uzoefu nilionao, usiweke FEDHA/PESA kwenye equation ya mradi wako hasa kama unahitaji ufadhili. Miradi ya namna hii huwa inaleta mafanikio makubwa pale wadau wanapoona momentum ya mradi wako na namna mwekezaji atakavyoweza kuona faida ya muda mrefu.

Hivyo basi, ANZA na ulicho nacho.

Ushauri wangu:
1. Andika wazo lako liwe kwenye document moja nzuri sana inayoeleza kila kinachohusu mradi wako
2. Fungua blog au youtube channel halafu iendeshe vizuri (weka content nzuri na fikia watu wa kutosha)
3. Hudhuria events mbali mbali ambazo zinaweza kuhusika na unachofanya. Hii itakuongezea exposure, publicity na kukutana na watu ambao wataweza kuwa ngazi ya kuinua mradi wako.

Mimi naweza kukusaidia kwenye uandishi na kukupa mwongozo kwa hizi hatua za awali kama utapenda. Kwenye uandishi hapo WENGI huwa wanapata tabu kidogo kwa kuwa wengi huandika kama taarifa, yaani kama report ya field. Mradi kama huu unahitaji "strategic writing", yaani atakayekuwa anasoma kuna point za muhimu anapaswa kuziona bila kusoma sana na pia aone point hizi zinavyoungana kwa factor ya "effort, time na expected result".

Baada ya hapo, document hiyo ifanye kuwa mwongozo wako kwenye utekelezaji wa mradi wako day by day, ambapo itakusaidia kuendelea kufanya mradi kwa misingi uliyoweka pia kuboresha wazo kadri muda unavyokwenda. Then unapopoleka wazo lako kwa wafadhili kwa kuambatanisha na document yako, ni rahisi kuona na kuthibitisha kuwa kile ulichokipanga na unachokifanya (wazo na utekelezaji) vinaendana. Hapo kunakuwa na asilimia nyingi za kupata uufadhili.

Ila katika yote umekuja na wazo jema, naamini lengo ni zuri na naamini ukifuata njia sahihi utafanikiwa. You have my support 100% stay positive haya mambo yanawezekana.
 
Ili ufanikishe wazo lako kuna mambo ambayo ni ya msingi inabidi uyazingatie (hasa unapohitaji lipatiwe ufadhili).
1. Je wazo lako linawezekana kutokea (Is the idea feasible?)
2. Wazo lako linaweza kuleta mabadiliko/matokeo?
3. Wazo lako linaweza kudumu ? Linaweza kufanya kazi kwa muda mrefu na matokeo kuendelea kupatikana?

ANGALIZO: Kutokana na uzoefu nilionao, usiweke FEDHA/PESA kwenye equation ya mradi wako hasa kama unahitaji ufadhili. Miradi ya namna hii huwa inaleta mafanikio makubwa pale wadau wanapoona momentum ya mradi wako na namna mwekezaji atakavyoweza kuona faida ya muda mrefu.

Hivyo basi, ANZA na ulicho nacho.

Ushauri wangu:
1. Andika wazo lako liwe kwenye document moja nzuri sana inayoeleza kila kinachohusu mradi wako
2. Fungua blog au youtube channel halafu iendeshe vizuri (weka content nzuri na fikia watu wa kutosha)
3. Hudhuria events mbali mbali ambazo zinaweza kuhusika na unachofanya. Hii itakuongezea exposure, publicity na kukutana na watu ambao wataweza kuwa ngazi ya kuinua mradi wako.

Mimi naweza kukusaidia kwenye uandishi na kukupa mwongozo kwa hizi hatua za awali kama utapenda. Kwenye uandishi hapo WENGI huwa wanapata tabu kidogo kwa kuwa wengi huandika kama taarifa, yaani kama report ya field. Mradi kama huu unahitaji "strategic writing", yaani atakayekuwa anasoma kuna point za muhimu anapaswa kuziona bila kusoma sana na pia aone point hizi zinavyoungana kwa factor ya "effort, time na expected result".

Baada ya hapo, document hiyo ifanye kuwa mwongozo wako kwenye utekelezaji wa mradi wako day by day, ambapo itakusaidia kuendelea kufanya mradi kwa misingi uliyoweka pia kuboresha wazo kadri muda unavyokwenda. Then unapopoleka wazo lako kwa wafadhili kwa kuambatanisha na document yako, ni rahisi kuona na kuthibitisha kuwa kile ulichokipanga na unachokifanya (wazo na utekelezaji) vinaendana. Hapo kunakuwa na asilimia nyingi za kupata uufadhili.

Ila katika yote umekuja na wazo jema, naamini lengo ni zuri na naamini ukifuata njia sahihi utafanikiwa. You have my support 100% stay positive haya mambo yanawezekana.
Mkuu maelezo yako ni konki kabisa, asante kwa hili.
 
Wakuu naomba mwenye information ya wapi naweza kupata ufadhili wa wazo la biashara. Bado lipo kama wazo sijaanzisha chochote.

Ni app ya kujifunza wakulima nimeshakusanya materials zote nilipokwama ni kugharamia technology yake maana watu wa IT wamenipigia gharama inafika million 8 mpaka 10.

Natanguliza shukrani.
Mkubwa mi nipe Laki 2 tu. Nakutengenezea hiyo App na kuiweka Playstore, kama inalengo la kupiga pesa kupitia matangazo ya Admob , yatakayo onekana kwenye App yako
 
Back
Top Bottom