Kupata ukimwi ni kiherehere chetu?

Kupata ukimwi ni kiherehere chetu?

Ngalikivembu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2010
Posts
1,959
Reaction score
876
Jakaya Mrisho Kikwete alipowahutubia wananchi wa Songea kwenye kampeni zake alisema watu wanaopata ukimwi ni kutokana na kiherehere chao.Ni kweli haya?Sio matusi kweli?
 
Haya tena kila mwenye lake atamzulia JK iwe la kweli au la kuongezwa chumvi na ndimu.

Umesikia peke yako?
 
Sio Songea tu hata Kigoma ktk sherehe za kuzima mwenge alirudia usemi huo. Alikuwa anasisitizia matumizi ya kondomu :frusty::frusty:
 
Ukiwa mzinifu, kisha ukapata Ukimwi unategemea nini, huruma!?
 
Mimi nilisikia alisema ni ugonjwa wa kujitakia, JK bure kabisa!!
 
Ni mtazamo wake na ndio uwezo wake wa kufikiri umefikia hapo.
 
Mwambieni yeye kuangukaanguka ni kihelehele chake pia kutaka kukaa chini bila kuona kiti.
 
Hivi ulikuwa unajitambulisha! Karibu.
 
Back
Top Bottom