Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 876
Haya tena kila mwenye lake atamzulia JK iwe la kweli au la kuongezwa chumvi na ndimu.
Umesikia peke yako?
Haya tena kila mwenye lake atamzulia JK iwe la kweli au la kuongezwa chumvi na ndimu.
Umesikia peke yako?
hata mimi nilisikia,nayeye ni kiherehere chake au anafikiri hatujui
Ni mtazamo wake na ndio uwezo wake wa kufikiri umefikia hapo.
Alianza na ujauzito akamalizia na ukimwi.jamani siyo ukimwi alisema ujauzito wa wanafunzi