Kupatana.com ni kama eBay?
Ila hapo kwenye kujibu barua pepe kwa Watanzania, kwa ujumla wake, ni majanga.
Si watu binafsi, si taasisi za serikali.
Ukiandika barua pepe na kujibiwa katika muda muafaka itabidi ushangae.
Mimi kuna sehemu nyingi tu ambazo nimeshajaribu kuwasiliana nazo kwa njia ya barua pepe na hakuna hata mmoja aliyesumbuka kunijibu.
Huwa sielewi kwa nini hata wanakuwa wanaziweka hizo anuani zao kwenye tovuti zao ilhali ukiwaandikia hawajibu.[/QUOTE
Mkuu tra,sumatra,tic wanajibu fasta