Nimewaona hawa KUPATANA katika matangazo yao na nimeona baadhi ya vifaa.Naona ni prototype ya Alibaba lakini kwa hapa zaidi ni vitu vilivyotumika.
Kuna yoyote kati yetu amefanya biashara nao atuelimishe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.