KUPATWA KWA MSTAAFU

Carla

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2012
Posts
398
Reaction score
331
Habari zenu wana jf.

Tafadhali naomba kama mtu anayeweza kuwa na tangazo fulani, nadhani ni la mfuko wa kijamii.
nililisikia kipindi fulani redioni lakini sasa hivi silisikii tena.
Anayeweza kuliweka hapa please aliweke.
 
hata tune halina?
Habari zenu wana jf.

Tafadhali naomba kama mtu anayeweza kuwa na tangazo fulani, nadhani ni la mfuko wa kijamii.
nililisikia kipindi fulani redioni lakini sasa hivi silisikii tena.
Anayeweza kuliweka hapa please aliweke.
 
hata tune halina?

Humo kwenye tangazo kuna babu anaitwa na mjukuu wake "babu babu..." Yeye anajibu kwa hasira akisema, "ng'ong'o ng'o ng'o", kisha anamfukuza mjukuu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…