Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri n kwamba sio lazima uendeMwezi 12 wote tulikuwa likizo wameshindwa kutufanyia usahili
Tarehe 13 shule zinafunguliwa alafu eti tarehe 14 ndio usahili
TUNAAGAJE KWA WAAJIRI WETU?
wamenipa sababu nyingine ya kubaki privet kwa mwaka mwingine nijipange
Hayo ni maneno ya dada yangu ambae ni mwalimu privet moja kanda ya kate shule yao take home ni 980K plus nyumba umeme na maji free
Na hatoenda kweliUzuri n kwamba sio lazima uende
Umejuaje yana soko kubwa?Na hatoenda kweli
Na bahati nzuri masomo yake (physics and mathematics) bado yanasoko kubwa ataingia serikalini mwakani
Atulie basiNa hatoenda kweli
Na bahati nzuri masomo yake (physics and mathematics) bado yanasoko kubwa ataingia serikalini mwakani
Sasa huyu anatafuta nini mbona pesa ni hizo hizo tuMwezi 12 wote tulikuwa likizo wameshindwa kutufanyia usahili
Tarehe 13 shule zinafunguliwa alafu eti tarehe 14 ndio usahili
TUNAAGAJE KWA WAAJIRI WETU?
wamenipa sababu nyingine ya kubaki privet kwa mwaka mwingine nijipange
Hayo ni maneno ya dada yangu ambae ni mwalimu privet moja kanda ya kate shule yao take home ni 980K plus nyumba umeme na maji free
mmmh.......! Atulizane..Mwezi 12 wote tulikuwa likizo wameshindwa kutufanyia usahili
Tarehe 13 shule zinafunguliwa alafu eti tarehe 14 ndio usahili
TUNAAGAJE KWA WAAJIRI WETU?
wamenipa sababu nyingine ya kubaki privet kwa mwaka mwingine nijipange
Hayo ni maneno ya dada yangu ambae ni mwalimu privet moja kanda ya kate shule yao take home ni 980K plus nyumba umeme na maji free
Kumbe kuna private zipo vzurMwezi 12 wote tulikuwa likizo wameshindwa kutufanyia usahili
Tarehe 13 shule zinafunguliwa alafu eti tarehe 14 ndio usahili
TUNAAGAJE KWA WAAJIRI WETU?
wamenipa sababu nyingine ya kubaki privet kwa mwaka mwingine nijipange
Hayo ni maneno ya dada yangu ambae ni mwalimu privet moja kanda ya kate shule yao take home ni 980K plus nyumba umeme na maji free
Nimeona idadi ya waombaji mfano physicsUmejuaje yana soko kubwa?
Totally huwa anakunja 1.3 per monthSasa huyu anatafuta nini mbona pesa ni hizo hizo tu
Hasa za Roman Catholic churchKumbe kuna private zipo vzur