georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
Leo nimekamatwa na traffic police nakuandikiwa risiti nilkalipe elfu 30 kisa rangi ya gari yangu kwenye bonnet imepauka.
Nilipomuuliza kupauka kwa rangi kunahatarisha vipi usalama wangu na wengineo barabarani akaniambia nikilipia ndiyo nitajua. Je, kupauka kwa rangi ya gari ni kosa? Na kama ni kosa ni sheria ipi inahalalisha kosa hilo?
Nilipomuuliza kupauka kwa rangi kunahatarisha vipi usalama wangu na wengineo barabarani akaniambia nikilipia ndiyo nitajua. Je, kupauka kwa rangi ya gari ni kosa? Na kama ni kosa ni sheria ipi inahalalisha kosa hilo?