BANGAMBONDA
Member
- Jul 14, 2011
- 7
- 2
Nakerwa na tabia ya watu fulani kuongea kwa sauti kubwa kwa simu ya mkononi kiasi cha kudraw attention ya wengine, wakashindwa kuconcentrate namambo yao kipindi hicho wakimsikliza yeye. Nadhani hii si uungwana. Au vipi?
One day on a bus to edinburgh there was this nigerian woman who was speaking so LOUD on the phone in embarrasing manner, to make it worse she was speaking her local dialect (may be Igbo or Youroba), the bus driver issued the first warning, she refused to listen, second warning lie lie, as we reach one stop, olopa enter arrest the woman for public disorder, see the woman begin beg, begin cry shoo meanwhile immigration was outside waiting for her, see drama this woman no wan leave bus, police wan drag her she no wan come down, the next thing she begin confess she be illegal say war dey her country, war ke Shocked Shocked Shocked for nija...
inategemea labda simu yake ya kichinaNakerwa na tabia ya watu fulani kuongea kwa sauti kubwa kwa simu ya mkononi kiasi cha kudraw attention ya wengine, wakashindwa kuconcentrate namambo yao kipindi hicho wakimsikliza yeye. Nadhani hii si uungwana. Au vipi?
kama my love wangu!mpaka sometimes namind nahisi kama anatongozwa!namsifu kwakweliMimi huwa naongea taratibu kama staki. Lol. Wanaopayuka wananikera.
isijekuwa ndio mimi. Hahahahahaha!kama my love wangu!mpaka sometimes namind nahisi kama anatongozwa!namsifu kwakweli
huwa nakumind unavyoongea kwa sauti ya chini tukiwa pamoja!hahahahah!mwanamke pozi bana!ya nini kupayuka katika simu kama unapiga debe!isijekuwa ndio mimi. Hahahahahaha!
kweli kabisa mumy, hata maandishi yako ni kama yapo taratibu.Mimi huwa naongea taratibu kama staki. Lol. Wanaopayuka wananikera.
Mkuu hii nimeipenda,cause kabla sijafika hapa akili yangu ilikwenda kwa hawa jamaa,si mchezo hawa jamaa ustaarabu wa kuongea umewapitia kushoto,na ukimtazama kama umemwambia ongeza,ukikutana nao kwa bahati mbaya ndani ya usafiri wa umma basi unaweza kushuka kituo sio chako,si unajua mtu mweusi akifanya manyago yanakuwa yetu sote.Ah ah ah ah, huyo jamaa atakuwa kaka na wapopo uko Nigeria tena kabila la Igbo au Youroba...
Kuna jamaa mmoja aliwahi sema kuwa Only Nigerian and gay Africans are loud.... The heterosexual ones are quiet.
Soma kisa iki toka tovuti.