Kupeleka kombe Mlima Kilimanjaro ni kutekeleza masharti ya waganga

Kupeleka kombe Mlima Kilimanjaro ni kutekeleza masharti ya waganga

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Itakumbukwa simba ndio walipeleka kibegi mlima kilimanjaro, walifika hadi kileleni, sisi tunaojua mambo haya tuliamini kabisa kuwa mwaka huu ulikuwa wetu, yalikuwa masharti ya mtalaamu wetu kuwa kama tunataka kukaa kileleni tukapeleke kitu kule mlimani, bahati mbaya Injinia akatonywa na wasaliti ndani ya Simba, bila kuchoka na yeye hata wiki haikumalizika akaenda kileleni kule kule kulikokuwa na kibegi, akaonekana kwenye vyombo vya habari cku cache baada ya simba kutoka huko na yeye akaenda huko huko kileleni akafanya yake.

Nilipoona injinia kaenda na yeye kule walikoend simba nikajua mipango ndani ya Simba inavuja sana.

Sasa jamaa wamebeba ndoo mara ya tatu mfululizo lkn mganga wao kawaambia lazima warudi tena kileleni wakamalizie kazi waliyoifanya ya kuishusha simba kule kileleni.

Unaweza usiamini lkn ukweli ndio huo, kibegi chetu kilishushwa muda mchache baada ya injinia kwenda kileleni na yeye akashusha kibegi chetu.

Kwahiyo kombe sio kwamba linapelekwa mlima kilimanjaro hapana kule wanakwenda kumalizia ahadi walizotoa kwa mizimu endapo wangefanikiwa kubeba ubingwa, kama wanataka kufa wasiende.Watapukutika mmoja baada ya mwingine.

PIA SOMA
- Record: Yanga yawa timu ya kwanza kufikisha kombe mlima Kilimanjaro
 
Itakumbukwa simba ndio walipeleka kibegi mlima kilimanjaro, walifika hadi kileleni, sisi tunaojua mambo haya tuliamini kabisa kuwa mwaka huu ulikuwa wetu, yalikuwa masharti ya mtalaamu wetu kuwa kama tunataka kukaa kileleni tukapeleke kitu kule mlimani, bahati mbaya Injinia akatonywa na wasaliti ndani ya Simba, bila kuchoka na yeye hata wiki haikumalizika akaenda kileleni kule kule kulikokuwa na kibegi, akaonekana kwenye vyombo vya habari cku cache baada ya simba kutoka huko na yeye akaenda huko huko kileleni akafanya yake.

Nilipoona injinia kaenda na yeye kule walikoend simba nikajua mipango ndani ya Simba inavuja sana.

Sasa jamaa wamebeba ndoo mara ya tatu mfululizo lkn mganga wao kawaambia lazima warudi tena kileleni wakamalizie kazi waliyoifanya ya kuishusha simba kule kileleni.

Unaweza usiamini lkn ukweli ndio huo, kibegi chetu kilishushwa muda mchache baada ya injinia kwenda kileleni na yeye akashusha kibegi chetu.

Kwahiyo kombe sio kwamba linapelekwa mlima kilimanjaro hapana kule wanakwenda kumalizia ahadi walizotoa kwa mizimu endapo wangefanikiwa kubeba ubingwa, kama wanataka kufa wasiende.Watapukutika mmoja baada ya mwingine.

PIA SOMA
- Record: Yanga yawa timu ya kwanza kufikisha kombe mlima Kilimanjaro
Uliambiwa litabaki kule hivi kibegi kilibaki?
 
Itakumbukwa simba ndio walipeleka kibegi mlima kilimanjaro, walifika hadi kileleni, sisi tunaojua mambo haya tuliamini kabisa kuwa mwaka huu ulikuwa wetu, yalikuwa masharti ya mtalaamu wetu kuwa kama tunataka kukaa kileleni tukapeleke kitu kule mlimani, bahati mbaya Injinia akatonywa na wasaliti ndani ya Simba, bila kuchoka na yeye hata wiki haikumalizika akaenda kileleni kule kule kulikokuwa na kibegi, akaonekana kwenye vyombo vya habari cku cache baada ya simba kutoka huko na yeye akaenda huko huko kileleni akafanya yake.

Nilipoona injinia kaenda na yeye kule walikoend simba nikajua mipango ndani ya Simba inavuja sana.

Sasa jamaa wamebeba ndoo mara ya tatu mfululizo lkn mganga wao kawaambia lazima warudi tena kileleni wakamalizie kazi waliyoifanya ya kuishusha simba kule kileleni.

Unaweza usiamini lkn ukweli ndio huo, kibegi chetu kilishushwa muda mchache baada ya injinia kwenda kileleni na yeye akashusha kibegi chetu.

Kwahiyo kombe sio kwamba linapelekwa mlima kilimanjaro hapana kule wanakwenda kumalizia ahadi walizotoa kwa mizimu endapo wangefanikiwa kubeba ubingwa, kama wanataka kufa wasiende.Watapukutika mmoja baada ya mwingine.

PIA SOMA
- Record: Yanga yawa timu ya kwanza kufikisha kombe mlima Kilimanjaro
Kati ya vitu ulivyokosa kabisa ni akili.
 
Itakumbukwa simba ndio walipeleka kibegi mlima kilimanjaro, walifika hadi kileleni, sisi tunaojua mambo haya tuliamini kabisa kuwa mwaka huu ulikuwa wetu, yalikuwa masharti ya mtalaamu wetu kuwa kama tunataka kukaa kileleni tukapeleke kitu kule mlimani, bahati mbaya Injinia akatonywa na wasaliti ndani ya Simba, bila kuchoka na yeye hata wiki haikumalizika akaenda kileleni kule kule kulikokuwa na kibegi, akaonekana kwenye vyombo vya habari cku cache baada ya simba kutoka huko na yeye akaenda huko huko kileleni akafanya yake.

Nilipoona injinia kaenda na yeye kule walikoend simba nikajua mipango ndani ya Simba inavuja sana.

Sasa jamaa wamebeba ndoo mara ya tatu mfululizo lkn mganga wao kawaambia lazima warudi tena kileleni wakamalizie kazi waliyoifanya ya kuishusha simba kule kileleni.

Unaweza usiamini lkn ukweli ndio huo, kibegi chetu kilishushwa muda mchache baada ya injinia kwenda kileleni na yeye akashusha kibegi chetu.

Kwahiyo kombe sio kwamba linapelekwa mlima kilimanjaro hapana kule wanakwenda kumalizia ahadi walizotoa kwa mizimu endapo wangefanikiwa kubeba ubingwa, kama wanataka kufa wasiende.Watapukutika mmoja baada ya mwingine.

PIA SOMA
- Record: Yanga yawa timu ya kwanza kufikisha kombe mlima Kilimanjaro
FB_IMG_1708800071658.jpg
 
Sasa tuelewe lipi ndugu zangu wa simba? Tatizo ni Mangungu hafai? Wachezaji ni wazee? Timu inahujumiwa? GSM anatembeza bahasha? Au ni uchawi kileleni mwa mlima kilimanjaro?
Washavurugika hawajielewi
 
Simba Sc msimu ujao baada ya kuchukua kombe la shirikisho Afrika na kombe la ligi kuu ya Tanzania watayapeleka kwenye jua , yaani wataenda level ya juu zaidi .
 
Kati ya vitu ulivyokosa kabisa ni akili.
Akili ya kiumbe ni uwezo wa kutafsiri kimbukumbu zake na anayeweza kutafsiri haraka hujulikana km ana akili sana binadamu hana ukomo wa kujifunza lakini nadhani ana ukomo wa kufikiri kunawengine kimbukumbu zao hufutika, (brain damaged) or incapacitated maranyingi hutokana na madhara ya kupigwa, ajali,kuugua sana huwa sipendi kutumia neno nakadhalika kwasababu wengine watapenda kuijua hiyo nakadhalika binadamu ana akili sana lakini binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri, (lazy thinker),siku za hivi karibuni watu wengi wame jenga tabia ya kuahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data, kwa tafsiri nyepesi unyumbu, (human herding), kibaya zaidi hata wanaopewa dhamana huahirisha kufikiri Kwa nafsi, (suspending their individual reasoning), hili ni Janga la kitaifa
 
Itakumbukwa simba ndio walipeleka kibegi mlima kilimanjaro, walifika hadi kileleni, sisi tunaojua mambo haya tuliamini kabisa kuwa mwaka huu ulikuwa wetu, yalikuwa masharti ya mtalaamu wetu kuwa kama tunataka kukaa kileleni tukapeleke kitu kule mlimani, bahati mbaya Injinia akatonywa na wasaliti ndani ya Simba, bila kuchoka na yeye hata wiki haikumalizika akaenda kileleni kule kule kulikokuwa na kibegi, akaonekana kwenye vyombo vya habari cku cache baada ya simba kutoka huko na yeye akaenda huko huko kileleni akafanya yake.

Nilipoona injinia kaenda na yeye kule walikoend simba nikajua mipango ndani ya Simba inavuja sana.

Sasa jamaa wamebeba ndoo mara ya tatu mfululizo lkn mganga wao kawaambia lazima warudi tena kileleni wakamalizie kazi waliyoifanya ya kuishusha simba kule kileleni.

Unaweza usiamini lkn ukweli ndio huo, kibegi chetu kilishushwa muda mchache baada ya injinia kwenda kileleni na yeye akashusha kibegi chetu.

Kwahiyo kombe sio kwamba linapelekwa mlima kilimanjaro hapana kule wanakwenda kumalizia ahadi walizotoa kwa mizimu endapo wangefanikiwa kubeba ubingwa, kama wanataka kufa wasiende.Watapukutika mmoja baada ya mwingine.

PIA SOMA
- Record: Yanga yawa timu ya kwanza kufikisha kombe mlima Kilimanjaro
Simba walizuiwa kurudi tena kileleni kilimanjaro?

Tungeshuhudia safari zisizoish kwa hivi vilabu kupanda mlimani. 😃😃
 
Simba wapande kilele cha Kilima Nyege Oyster Bay wakaweke jezi, pumbavu kabisa
 
Ndio umwambie sasa babu yako apunguze mashart ikiwezekana kombe tulilete kwenu mpige nalo picha
 
Back
Top Bottom