Kupenda chini!!??

Kupenda chini!!??

ldd

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
790
Reaction score
128
eti ugonjwa wakupenda chini ndo ngoma????
 
kwa uzoefu wangu wa maneno ya mtaani nadhani kupenda chini maana yake kupenda kufanya ngono na si ngoma/ukimwi. upo hapo?
 
Dawa ni wewe mwenyewe, usiruhusu mawazo ya ngono akilini mwako sana, ukiona yanakuja jariku kuwa busy na kitu chochote, pia jitahidi kufanya mazoezi ya viungo kila siku. Heshimu maandiko matakatifu kama ni kanisani/msikitini hudhuria maandiko hayaruhusu kabisa kufanya ndono na mtu asiekuwwa mme/mke wako. Kama umri unakuruhusu oa/olewa maana ni vizuri kuchagua kuadhirika kwa sababu ya ngono au kusubiri ili mipango yako ikamilike.
 
Ukiwa na hofu ya Mungu na imani haya yote utayaona.
 
Back
Top Bottom