Kupenda jamani ni maradhi

story yaani ndo kalove kalikua kanaanza ndo ivo kanjiwa kangu kamepeperushwa 4ever jamani
Hahahaha.....! Kumbe ulitamani gari liharibikie Namanga mlale hadi kesho....! Au huenda ilifika Dar lakini siku mbili baadaye ndio ukaingia nyumbani?
 
Hahahaha.....! Kumbe ulitamani gari liharibikie Namanga mlale hadi kesho....! Au huenda ilifika Dar lakini siku mbili baadaye ndio ukaingia nyumbani?
home walinipokea stendi hata kiss sikupata just simpe hug but memorable and sweet one
 
Naitwa NYENJENKURU kwa sasa nipo Kampala Uganda napatikana kwa mob no +256775881715
 
aisee, cha kufanya hapo we angalia mapicha ya poni utamuona tuuu.
 
Dah wakuu demu alikuwa mkali ile mbaya labda keshaolewa kweli bac poa lakini Mungu ham2pi mjawake.Ipo cku nitapata demu bomba zaidi yake.AMIN!
 
network ilikata anaitwa chacha mwita

Bebii unaipenda sura yako kweli? Angalia unaweza ukatoroka kwenu watu wakadhan rigwaride limekushnda kumbe ni vichapo vimezidi, teteteeeeeeeee! Napita tu mamie.
 
Lia mpaka upasuke manake kichwa chako kiko kama PUTO. Huna kazi ya kufanya unatuletea Upupu humu? Acha kutumia kucha katika kufikiri manake tabia hizo wanazo Magamba.
 
Bebii kuna methali isemayo Mapenzi ya kwenye basi huishia kituoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…