Kupenda ninini? Kama huna jibu pita kushoto.

Kupenda ninini? Kama huna jibu pita kushoto.

ichumu lya

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2016
Posts
2,651
Reaction score
2,790
Watu wengi wanazungumzia mapenzi, kupendwa na kupenda ivi wanamaaninisha nini naninani? Mwenyejukumu la kumpenda mwenzie Me&Ke!
 
Pole sana...

Naona watu wengi wamepita kushoto...

Ongea na moyo wako ndiyo utajua kupenda ni nini...


Cc: mahondaw
 
Kupenda au kupendwa au kutopemdwa ni temporally emmotional ,

Hivyo usishangae leo unapenda mtu alafu baada ya muda humpendi tena, au ukapendwa na mtu alafu baada ya muda akawa hakupendi tena , hiyo ndio kupenda
 
Kupenda au kupendwa au kutopemdwa ni temporally emmotional ,

Hivyo usishangae leo unapenda mtu alafu baada ya muda humpendi tena, au ukapendwa na mtu alafu baada ya muda akawa hakupendi tena , hiyo ndio kupenda
Wrong
 
  • Thanks
Reactions: sab
Watu wengi wanazungumzia mapenzi, kupendwa na kupenda ivi wanamaaninisha nini naninani? Mwenyejukumu la kumpenda mwenzie Me&Ke!
Jukumu ni la wote kupendana but muhimu ni kuangalia upendo huo ulitokana na nn, mapenzi murua ni yale yaliyo na urafiki ndani yake but pia tambua kwamba upendo au mapenzi ni second feeling after LIKE au mnaita Kutamani, kila kitu huanzia na like na hyo ndo the start of everything,huwezi tambua au kuelewa kupendwa ni nini bila ga kupenda, naishia hapo
 
Mtoa mada..kwa mi nnavyoona na kuishi kwingi naona kupenda ni kumthamini mtu-no matter what.
 
Upendo ni hali ya kuwa tayari kumjari mtu na kumpokea vile alivyo bila kujari madhaifu yake.

Ukimpenda mtu unakuwa umejitoa tayari kubeba gharama zote za upendo kwake. Hivyo ni sawa na kujitoa wewe kwa mtu mwingine bila kuhesabu gharama zako; uwe tayari kutoa mda wako kwa mwingine, furaha yako iwe yake na yake iwe yako, tatizo lake liwe lako.

Jukumu la Upendo ni lakila mtu, halimbagui mtu. Ukipendwa nawe penda haswaa!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom