Kupenda sio ndoto...

Mtoboasiri

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2009
Posts
5,101
Reaction score
1,952
...ningeyasema bayana lakini naogopa kuzifufua chuki zilizopita. Poza roho ndugu kwa yaliyokupata kwa sababu ya kupenda. Pendo lako limekuwa kama limepita na maji ndani ya ziwa ukabaki na huzuni.

Najua penzi ni donda la rohoni lakini usichukie. Ukutanapo na mwenzio tabasamu "hallo" mfariji ukiweza.
Ukae ukielewa kupenda sio ndoto ya usiku mmoja
 
duh.............

Yaani! The Boss, we acha tu! Ningeweza ningekuwekea sauti na midundo inayofuatana na hayo mashairi ya kiutu uzima! Sio "kuku kapanda baiskeli bata kavaa raizoni"
 

Mmmmmm?
 
mimi na mafumbo hatusomani kabisa
 
MUNGI sio fumbo . hiyo mistari ni part ktk wimbo wa ddc mlimani park orchestra, bahati mbaya ulikuwa hujazaliwa .
 
MUNGI sio fumbo . hiyo mistari ni part ktk wimbo wa ddc mlimani park orchestra, bahati mbaya ulikuwa hujazaliwa .

Kupenda wakati mwingine si kitu kizuri, muulize 20% kwenye uwimbo wake hapo chini atakudokeza maumivu yake.
"..... Nenda ahaaaa, nenda ahaaaa, nenda haaaa hata kama zamani nilipenda ..... "
 
Naweza pata wapi MP3 ya hii ngoma, inanikumbusha mbali sana wakati wa udogo, wakati huo redio moja tu, RTD..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…