Mwanamwaiche
JF-Expert Member
- Apr 13, 2022
- 665
- 968
Dadadeki hivi mshakutana n shetwani wa kike kabla hujampata au siku za mwanzo baada ya kumla alikuwa anapiga simu na kutext mara kwa mara.
Pyu baada kamda kidogo anakuwa Anti biper anti mfupi, kujifanyisha kibwengo kinyago. Sijui mi nakosea nawachana fasta nawaambia ujinga sitaki kama unanidangia sepa jinga sana yaani sasa hivi umegeuka soko la owino?
Kama unashindwa kujiunga dakika na sms, wewe si ukiona niko na bwax la pesa utantilia sumu, sitaki mazombi. Mnadhalisha wanawake akili gani za kizombi, hata safari ya elfu1 ya boda nayo ulipiwe.
Hata umkitoa na mzuka hata wa elfu20, 30, 50 bado atabip.
Nshawatia adabu kama watatu punde tu baada ya kuwapa elfu30 wakabip baada ya kufika mahome kwao. Nikachekecha baby ebu hio pesa nilokupa niwekee Airtel money sasa ninunue Luku ya Dukani, nikitoka ntaenda ATM unambie ulipo nije nikuongezee mng'ao. Wote wakajichanganya wakatuma kwa nyakati zao.
Nikazima simu nikaondoka ghetto nikafunga mlango nikaacha watoto wakali majirani nikawapanga in case wakija waishie getini, Uncle kaenda kununua engine mount ya gari imeharibika. Kaondoka amepagawa gari imemvuruga..
Whatsapp status inasoma bye "Utamaduni wa kunibipu koma sijawahi kuwa Danga la mpuuzi yeyote" Naiona hiyo...hiyo...hiyo... Naiona hiyo....
Hali hii inaniudhi mimi tu au ....leteni mbinu na visa..... Kudangiwa sio poa
Siio katili kiihivo ila muhimu kutoka somo la kibabe sometimes.
Pyu baada kamda kidogo anakuwa Anti biper anti mfupi, kujifanyisha kibwengo kinyago. Sijui mi nakosea nawachana fasta nawaambia ujinga sitaki kama unanidangia sepa jinga sana yaani sasa hivi umegeuka soko la owino?
Kama unashindwa kujiunga dakika na sms, wewe si ukiona niko na bwax la pesa utantilia sumu, sitaki mazombi. Mnadhalisha wanawake akili gani za kizombi, hata safari ya elfu1 ya boda nayo ulipiwe.
Hata umkitoa na mzuka hata wa elfu20, 30, 50 bado atabip.
Nshawatia adabu kama watatu punde tu baada ya kuwapa elfu30 wakabip baada ya kufika mahome kwao. Nikachekecha baby ebu hio pesa nilokupa niwekee Airtel money sasa ninunue Luku ya Dukani, nikitoka ntaenda ATM unambie ulipo nije nikuongezee mng'ao. Wote wakajichanganya wakatuma kwa nyakati zao.
Nikazima simu nikaondoka ghetto nikafunga mlango nikaacha watoto wakali majirani nikawapanga in case wakija waishie getini, Uncle kaenda kununua engine mount ya gari imeharibika. Kaondoka amepagawa gari imemvuruga..
Whatsapp status inasoma bye "Utamaduni wa kunibipu koma sijawahi kuwa Danga la mpuuzi yeyote" Naiona hiyo...hiyo...hiyo... Naiona hiyo....
Hali hii inaniudhi mimi tu au ....leteni mbinu na visa..... Kudangiwa sio poa
Siio katili kiihivo ila muhimu kutoka somo la kibabe sometimes.