Mwanangu nataka kuja kubeba mabox huko nifanyie mpangoMzuka wanajamvi,
Siyo nawaringia ila mimi imetokea Kupendwa sana na wanawake wazee ama wenye umri mkubwa.
Usiku huu nilipotoka mzigon (kubeba boksi) nilipanda basi nikakaa na mbibi. Nilipofika kwenye kituo changu nasimama kushuka yani kanishika mkono nakunizuia nisisimame na wala hatukuwa namazungumzo yoyote. Yani kakomaa na kungangania kabisa ikabidi nishuke kituo kinachofuata
Aisee acha uongo wewe. Nyege tu zinakusumbua.Mzuka wanajamvi,
Siyo nawaringia ila Kupendwa raha.
Usiku huu nilipotoka mzigon (kubeba boksi) nilipanda basi nikakaa na mbibi. Nilipofika kwenye kituo changu nasimama kushuka yani kanishika mkono nakunizuia nisisimame na wala hatukuwa namazungumzo yoyote. Yani kakomaa na kungangania kabisa ikabidi nishuke kituo kinachofuata
sasa wewe si ni shemu tu. Mimi imeshanitokea mara tatu ninapewa kanote kenye ujumbe na namba ya simu. Na wakishanipa wanasepa wala hawazungumzi
mzee wa soshoAisee acha uongo wewe. Nyege tu zinakusumbua.
Wadenish wanakuzingua.mzee wa sosho
dah mwanangu natamani kukusaidia ila ni ngumu sana kwa upande wangu. Licha ya yote sasa hivi immigration imekuwa more tougher. Ila usikate tamaa penye nia pana njia
Ngoja nikomaedah mwanangu natamani kukusaidia ila ni ngumu sana kwa upande wangu. Licha ya yote sasa hivi immigration imekuwa more tougher. Ila usikate tamaa penye nia pana njia
tulia dogo wewe huko kwenu manzese midizini hadi uhonge ndio upendwe kinafikiUmeandika nini sasa na wewe mbona story ina hang! Au na wewe mzee! Acha kukurupuka mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
dah yani unene ni bigdealinawezekana ni kweli lakini hayatuhusu ungebaki nayo moyoni ungenenepa
hamna konda kwenye haya mabasiKonda hakukulipisha nauli ya umbali uliopitiliza? Baada ya kushuka ukapanda gari kurudi kwako au ulitembea? Aise huyo bibi kakuona pimbi kweli.