Kupiga bao

Gonga kitimoto ya kuchoma, mapilipili kwa wingi, then tupia konyagi. Utaomba mwenyewe bao litoke.!
 
40 mins? Basi hata mimi nina matatizo katika hili
 
unazeeka mzee! Ulikuwa 18 sasa uko 25. Afu kumbuka hii theory... Ukiona kibatari kinawaka jua mafuta yanateketea.. Ukitaka kuishi vizuri jaribu kufanya kila kitu kwa kadri..yaani kati na kati..yaani kitu chochote unachofanya usizidishe na wala usifanye kwa kiwango cha chini..utakuwa salama.
 
Na ukifikia kuoa then utajikuta haisimami tena. U knw kila ki2 kinatakiwa kwa kiasi, miaka 18-25 umeshaanza kupungua nguvu wakati kwa sasa ndo ulitakiwa uwe unahunguruma km simba? Mwee! Sasa ukioa afu uwe na majukumu, stress na uchovu c ndo itaerect kwa sekunde 2? Uifanyiage na hyo dudu mazoezi ya kusimama kwa mda mrefu, na ujifunzage kuhold orgasm, may be itakuja kukusaidia when u'l be 40 and u nid it,....kwa sasa u can abstain....UNAWEZA? Lol!
 
ukisha kojoa hilo bao baada ya 15 minutes subiri hapo hapo kifuani mpaka u-n-y-e kabisa..

hahahahahahaha! Nimecheka hadi machozi yametoka. Lol. Ahsante kwa kuniongezea siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…