FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
mwili wa binadamu umeumbwa kwa umeme,hivyo huvutana,mnaweza kusana na MTU na cheche kutokea au mwale wa shoti hill halina ubishi,hivyo kupiga mwayo ni kuapudetiwa kwenye gridi yake Mungu ili atucontrol ndio mana kariakoo watu hawagongani wanapotembea ni mfumo wa ume wasme mwilini mwetu ndo hufanya kazi sensa
Uhusiano wake ktk kufanya kazi kwake
Ukiangalia musiki was Michael Jackson wimbo was thriller MTU mmoja anaanza kucheza na watu wanafuatia au wimbo was J.Lopez usemao Ain't ur mummy,utaona nguvu ya mwayo inavyounganisha watu
Watu wenye nyota,ktk kila sehemu Mungu ameng'arisha nyota za watu wachache ambao akicheka hivi ukimuangalia unaweza vutiwa nae nawe ukaanza kucheka kama yeye au mwendo wake mavazi,kuongea na kadhalika,hata akilia na wewe unajikuta unalia,hii watu huwa ktk rika lote kuanzia kwa watoto wapo mpaka wakubwa
Ndio mana Ktk jamii watoto hao hufundishwa kucheka,kula na mambo mengine kabla hawajawa wakubwa ili wasije kuwa wanakula vibaya na wengine wakaiga,na kwa kuwa ukiona kitu unaweza jikuta unakipenda ndio mana watu wengine huogopa kutembea au kuwaruhusu watoto wao kuangalia Picha au muvi mbaya mana wanaweza unga kama kupiga mwayo
Nb:Mungu yupo na husema na kila nafsi kikubwa ni kujisikiliza mwili kuna wakati unapaswa uwe mahali pengine huenda ungekutana na mtu ila kwa sababu hjisikilizi unakosa,mfano wanyama na Ndege hujisikiliza na kujua mahali Fulani Luna chakula au maji au huu mda was kuhama pori au mbuga hii na kwenda pengine na sio kunusa kwani Mungu huongoza viumbe na wanyama masaa yote halali
Mwandishi mashuhuri was hadithi Eric Shigongo aliwahi kili kuna roho inasema nae na kumuongoza,kweli huwezi tunga hadithi zote peke yako bila yeye Muumba,hill sikatai
Insta
Uhusiano wake ktk kufanya kazi kwake
Ukiangalia musiki was Michael Jackson wimbo was thriller MTU mmoja anaanza kucheza na watu wanafuatia au wimbo was J.Lopez usemao Ain't ur mummy,utaona nguvu ya mwayo inavyounganisha watu
Watu wenye nyota,ktk kila sehemu Mungu ameng'arisha nyota za watu wachache ambao akicheka hivi ukimuangalia unaweza vutiwa nae nawe ukaanza kucheka kama yeye au mwendo wake mavazi,kuongea na kadhalika,hata akilia na wewe unajikuta unalia,hii watu huwa ktk rika lote kuanzia kwa watoto wapo mpaka wakubwa
Ndio mana Ktk jamii watoto hao hufundishwa kucheka,kula na mambo mengine kabla hawajawa wakubwa ili wasije kuwa wanakula vibaya na wengine wakaiga,na kwa kuwa ukiona kitu unaweza jikuta unakipenda ndio mana watu wengine huogopa kutembea au kuwaruhusu watoto wao kuangalia Picha au muvi mbaya mana wanaweza unga kama kupiga mwayo
Nb:Mungu yupo na husema na kila nafsi kikubwa ni kujisikiliza mwili kuna wakati unapaswa uwe mahali pengine huenda ungekutana na mtu ila kwa sababu hjisikilizi unakosa,mfano wanyama na Ndege hujisikiliza na kujua mahali Fulani Luna chakula au maji au huu mda was kuhama pori au mbuga hii na kwenda pengine na sio kunusa kwani Mungu huongoza viumbe na wanyama masaa yote halali
Mwandishi mashuhuri was hadithi Eric Shigongo aliwahi kili kuna roho inasema nae na kumuongoza,kweli huwezi tunga hadithi zote peke yako bila yeye Muumba,hill sikatai
Insta