Kupiga picha ni art! Check this...

Huyu hajielewi.

Anaonyesha makalio wakati jengo lililoko mbele yake ni sehemu ya Ibada??
Hii ndiyo maana ya neno "ukristo unachezewa". Angejaribu kufanya huo ujinga wake mbele ya msikiti alafu ungeona jinsi waislamu wangemshukia Kama mwewe. Wenzetu wanajua jinsi ya kutunza maadili kabla ya kumuhusisha Mungu vitu vidogo Kama hiki.

Wakristo hii kauli ya Mungu ndiye atakayehukumu ndiyo imetufikisha hapa. Ukristo umegeuka Kama kichwa Cha mwendawazimu kila mtu anachezea na kufanya anavyotaka.

Hii ni dharau kubwa sana.
 
Acha ngano na magugu yastawi pamoja, mvunaji atafanya kazi yake.
 
Wana msemo Mungu hahukumu mavazi anahukumu nafsi🙌
 
Acha ngano na magugu yastawi pamoja, mvunaji atafanya kazi yake.
Ndiyo maana Hadi mnaambiwa muache kazi alafu hela mumpelekee mchungaji Kisha mufunge kavu Kama Yesu alafu mufe muende mbinguni. Matokeo yake mnakufa Kama kuku alafu mchungaji anawazika kaburi la halaiki huku yeye akiendelea kula Bata. Haya ya Kenya yatajirudia Bongo kwa mindset hizi za acha magugu na ngano ziote pamoja.


Ukristo umevamiwa na walanguzi na wezi,mnatafsiri vibaya sana maandiko ya Biblia.
 
Rudisha upanga alani mwake.
 
Wana msemo Mungu hahukumu mavazi anahukumu nafsi🙌
Wakatoriki wameshaanza kustuka siku hizi.

Ukija kanisani na kimini chako unarudishwa nyumbani ukavae vizuri,kanisa siyo sehemu ya kukaa uchi Kam bar eti Mungu ndiye anahukumu.


Hawa wakristo uchwara wasioijua biblia wanasahau Yesu alipoona mambo ya kijinga yanafanyika nyumba ya ibada alivunja vunja meza na kuharibu biashara zao na kuwafungulia njiwa waliokuwa wanauzwa waruke. Yesu Wala hakusubiri Mungu ahukumu,alihukumu yeye maana lilikuwa ndani ya uwezo wake.

Misingi ya dini ikikiukwa tusimsingizie Mungu atahukumu jamani. Mungu ana mengi ya kufanya kuliko kudeal na kesi ya Malaya anayepiga picha makalio kwenye nyumba ya ibada eti atamhukumu yeye. Tunatia aibu wakristo.
 
Wanakuambia makanisa yanajiita free church🙌..ukivaa trouser wewe tu ....tunaunajisi sana ukristo
 
Rudisha upanga alani mwake.
Kasome vizuri biblia kijana. Ukristo upo imara na Sheria zipo wazi ila mnaojiita wakristo ndyo mnapotosha na kumsingizia Mungu ahukumu kesi ya Malaya kupiga picha kanisani.

Yesu mwenyewe alipoona hekaluni kunafanyika mambo siyo alivunja kila kitu na pengine biblia inaficha vingine yawezekana Kuna ambao walichezea Hadi makofi.

Mungu ahukumu kesi ya mpiga picha za uchi kanisani wakati huo wewe umekaa tu. Heko waislamu wanaompunguzia Mungu majukumu kwa kesi ambazo wao wenyewe wanaweza kuamua.

Huyu alipaswa apigwe mitama ya kimo Cha mbuzi hapo hapo na mpiga picha avunjuwe kamera yake au simu anayotumia kupiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…