Kupima Testosterone hormone (in relation to upungufu wa nguvu za kiume)

Kupima Testosterone hormone (in relation to upungufu wa nguvu za kiume)

kayanda01

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
1,216
Reaction score
1,062
Habari wana-jf.
Kwa heshima na taadhima, nawasalimu wote!

Kwa yeyote anaefahamu, naombeni mnihabarishe kuhusu hili: Ni sehemu/hospitali gani apa Dar wanapima Testosterone hormone (as regards to upungufu wa nguvu za kiume) kwa bei nafuu?? naombeni mnijuze iyo hospitali (nataka hospitali ya private, maana za serikali kuna foleni sana kupata huduma). Nikijua na price yake kabisa kwa icho kipimo nitashukuru zaidi.

Nawasilisha wapendwa.
Many thanks in advance to all for any help-info you may render to me. Mbarikiwe sana!
 
Habari wana-jf.
Kwa heshima na taadhima, nawasalimu wote!

Kwa yeyote anaefahamu, naombeni mnihabarishe kuhusu hili: Ni sehemu/hospitali gani apa Dar wanapima Testosterone hormone (as regards to upungufu wa nguvu za kiume) kwa bei nafuu?? naombeni mnijuze iyo hospitali (nataka hospitali ya private, maana za serikali kuna foleni sana kupata huduma). Nikijua na price yake kabisa kwa icho kipimo nitashukuru zaidi.

Nawasilisha wapendwa.
Many thanks in advance to all for any help-info you may render to me. Mbarikiwe sana!

nenda hindu mandal i tink ina range kwenye 50 thou
 
Unaweza pia kupima Burhani charritable Hospital mimi niliwahi pima au Hospital yoyote kubwa ukisoma ile sheet yao ya vipimo kuna sehemu ya Fertility profile na hapo kuna hicho kipimo na vingine ya masuala hayo lakini kwanza ukionana na Doctor ukimueleza tu anakuandikia kupima
 
Unaweza pia kupima Burhani charritable Hospital mimi niliwahi pima au Hospital yoyote kubwa ukisoma ile sheet yao ya vipimo kuna sehemu ya Fertility profile na hapo kuna hicho kipimo na vingine ya masuala hayo lakini kwanza ukionana na Doctor ukimueleza tu anakuandikia kupima

Thanks mkuu. kesho nitaenda kucheck
 
Back
Top Bottom