Kupima tezidume, UTI sugu, bawasiri, figo, ini, kibofu, utumbo...dar

Kupima tezidume, UTI sugu, bawasiri, figo, ini, kibofu, utumbo...dar

Lububi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
2,158
Reaction score
3,808
Nawasalimu nyote kwa nguvu za huyo atiaye uhai.
Kwa mtanzania wa kawaida asiye na bima ndan ya dar wapi pa uhakika kupima vipimo tajwa hapo juu kwa wakat mmoja?
Bajet yake ni sh ngap?
Mwenye mzaha katika afya aniache kwa leo.
Natanguliza shukran
 
Back
Top Bottom