Ewe kilaza na mziwanda wa sheria. Elewa swali.Unataka kupinga matokeo yapi ya Urais?
Sasa kama wewe ni mwanasheria kwa nini huzijui sheria?
Kizazi cha bashite hichi kina taabu kweli. Unajua maana ya implication? Kwanza unajua sheria? Ama nabishana na mwanasiasa?Sasa kama wewe ni mwanasheria kwa nini huzijui sheria?
Katiba je?