Kupisha machungu ya ndugu kupotezwa au kuuawa kwa sababu za kisiasa kwanini tusikubaliane walioko madarakani wadumu milele?

Kupisha machungu ya ndugu kupotezwa au kuuawa kwa sababu za kisiasa kwanini tusikubaliane walioko madarakani wadumu milele?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ni machungu kiasi gani kwa familia za waliopotea au kuuwawa kwenye kadhia hizi za kisiasa?

Ni familia ipi inaweza kuhalalisha unyama huu kutokea katika familia yao?

Imekuwa ni kawaida watu kupotea au kuuwawa kwa sababu za kisiasa, huku kukiahidiwa chunguzi zisizokuwa na majibu.

Kwamba haya yanatokea na tatizo ni dhana ya demokrasia na utawala jumuishi tu, kutokuwa zimeridhiwa vilivyo?

Kwamba kama waliopo madarakani wakiachwa watawale milele ndiyo suluhisho la haya?

Kwa hakika kupisha machungu ya namna hii ipendekezwe walioko madarakani waendelee kutawala hadi watakapojichokea!

Naomba kutoa hoja.
 
Magufuli mlitaka atawale beyond term limit hatimaye ameoza kabla ya awamu yake kukamilika.
 
Magufuli mlitaka atawale beyond term limit hatimaye ameoza kabla ya awamu yake kukamilika.

Ukisema "mlitaka" hIyo ni tungo tata.

Zingatia hapa tunashauriana la kufanya.

Kina Soka hawajulikani walipo. Chunguzi za kina Mzee Kibao hakuna anayeziongelea.

Chaguzi na sokomoko hata kipofu kaona!

Kama hatakiwi demokrasia, si waseme au tuwasemee tu? Labda hata vyama vikageuka Saccos?
 
Kamanda, sikutegemea unyoshe mikono kisurrender mapema hivi!
 
Ni machungu kiasi gani kwa familia za waliopotea au kuuwawa kwenye kadhia hizi za kisiasa?

Ni familia ipi inaweza kuhalalisha unyama huu kutokea katika familia yao?

Imekuwa ni kawaida watu kupotea au kuuwawa kwa sababu za kisiasa, huku kukiahidiwa chunguzi zisizokuwa na majibu.

Kama haya yanatokea na tatizo ni dhana ya demokrasia na utawala jumuishi tu, kutokuwa zimeridhiwa vilivyo?

Kwamba kama waliopo madarakani wakiachwa watawale milele ndiyo suluhisho la haya?

Kwa hakika kupisha machungu ya namna hii ipendekezwe walioko madarakani waendelee kutawala hadi watakapojichokea!

Naomba kutoa hoja.
Sema waishi milele, huwezi tawala milele wakati hàuishi milele.
 
Ukisema "mlitaka" hIyo ni tungo tata.

Zingatia hapa tunashauriana la kufanya.

Kina Soka hawajulikani walipo. Chunguzi za kina Mzee Kibao hakuna anayeziongelea.

Chaguzi na sokomoko hata kipofu kaona!
Muovu anapofanikiwa usimwonee wivu, kila teneo linahesabiwa na kulipwa hapa Duniani.
 
Ni machungu kiasi gani kwa familia za waliopotea au kuuwawa kwenye kadhia hizi za kisiasa?

Ni familia ipi inaweza kuhalalisha unyama huu kutokea katika familia yao?

Imekuwa ni kawaida watu kupotea au kuuwawa kwa sababu za kisiasa, huku kukiahidiwa chunguzi zisizokuwa na majibu.

Kama haya yanatokea na tatizo ni dhana ya demokrasia na utawala jumuishi tu, kutokuwa zimeridhiwa vilivyo?

Kwamba kama waliopo madarakani wakiachwa watawale milele ndiyo suluhisho la haya?

Kwa hakika kupisha machungu ya namna hii ipendekezwe walioko madarakani waendelee kutawala hadi watakapojichokea!

Naomba kutoa hoja.
Hoja ya kijinga sana hii kwahiyo haiungwi mkono hata kidogo
 
Ni machungu kiasi gani kwa familia za waliopotea au kuuwawa kwenye kadhia hizi za kisiasa?

Ni familia ipi inaweza kuhalalisha unyama huu kutokea katika familia yao?

Imekuwa ni kawaida watu kupotea au kuuwawa kwa sababu za kisiasa, huku kukiahidiwa chunguzi zisizokuwa na majibu.

Kama haya yanatokea na tatizo ni dhana ya demokrasia na utawala jumuishi tu, kutokuwa zimeridhiwa vilivyo?

Kwamba kama waliopo madarakani wakiachwa watawale milele ndiyo suluhisho la haya?

Kwa hakika kupisha machungu ya namna hii ipendekezwe walioko madarakani waendelee kutawala hadi watakapojichokea!

Naomba kutoa hoja.
Kama m7 sio.
 
Ni machungu kiasi gani kwa familia za waliopotea au kuuwawa kwenye kadhia hizi za kisiasa?

Ni familia ipi inaweza kuhalalisha unyama huu kutokea katika familia yao?

Imekuwa ni kawaida watu kupotea au kuuwawa kwa sababu za kisiasa, huku kukiahidiwa chunguzi zisizokuwa na majibu.

Kama haya yanatokea na tatizo ni dhana ya demokrasia na utawala jumuishi tu, kutokuwa zimeridhiwa vilivyo?

Kwamba kama waliopo madarakani wakiachwa watawale milele ndiyo suluhisho la haya?

Kwa hakika kupisha machungu ya namna hii ipendekezwe walioko madarakani waendelee kutawala hadi watakapojichokea!

Naomba kutoa hoja.
Nakubaliana nawe.Tusikaze sana shingo.Ngoja waendelee mpaka wachoke
 
Back
Top Bottom