Kupitia hii kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA wasiojulikana ndio wanajulikana hivyo?

Kupitia hii kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA wasiojulikana ndio wanajulikana hivyo?

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,252
Reaction score
8,003
Kupitia hii kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake 3, ninajifunza mengi sana. Sasa kumbe waliokua wabishi na wasiovumilia mateso haya waliyoyatoa kina Goodluck kuna watu walikua wanadanja na kutupwa?

Kwanini wasiojulikana tusiseme kua ni hawa wa kina Goodluck? Hii kesi ni Mungu anapeleka ujumbe kwenye jamii. Sasa polisi wetu wamefikia pabaya, wamepitia jamii hasira mno isiyoelezeka. DPP angeondoa hii kesi mapema watu warudi uraiani kuliko walikofikia hivi sasa.

Kuna Komandoo inasemekana anaitwa Moses Lijenje, Polisi wanasema hawakumkamata mpaka leo hawajui alipo, Lakini hao hao kina Polisi kina Goodluck wanawaambia washtakiwa kua watawatupa kama walivyomtupa Moses Lijenje, hii maana yake nini? Watuambie Komandoo Moses Lijenje yupo wapi?
 
Na chamber zao za mateso, baadhi zimeshaanza kujulikana! Tazara, mbweni, Central,...............!!!!!! Achilia mbali aina ya mateso.

Kiukweli hili halikubaliki hata kidogo.
Mkuuu asilimia kubwa ya Sentro kama sio zote

Zinakua na kachemba kakuteseaa..tena hiyo staili ya POPO

Wanaitumia sanaaa sanaa


Wengine inafikiaga hatua za kukuingizia spoku ya taili ya baiskel kwenye Mrija wa mboooo( wakifikiaga hii hatua, uwezekano wa kukunalizia ni mkubwa).
 
IMG_1406.jpg
 
Mkuuu asilimia kubwa ya Sentro kama sio zote

Zinakua na kachemba kakuteseaa..tena hiyo staili ya POPO

Wanaitumia sanaaa sanaa


Wengine inafikiaga hatua za kukuingizia spoku ya taili ya baiskel kwenye Mrija wa mboooo( wakifikiaga hii hatua, uwezekano wa kukunalizia ni mkubwa).
Nimeishiwa maneno…

Katiba mpya ni lazima.. Mbowe sio Gaidi.

E9351969-3B65-457A-A9BB-9117A975A6F3.jpeg
 
Mkuuu asilimia kubwa ya Sentro kama sio zote
Zinakua na kachemba kakuteseaa..tena hiyo staili ya POPO
Wanaitumia sanaaa sana
Wengine inafikiaga hatua za kukuingizia spoku ya taili ya baiskel kwenye Mrija wa mboooo( wakifikiaga hii hatua, uwezekano wa kukunalizia ni mkubwa).
Kuna ile ya style ya popo huku umewekwa kwenye shimo la maji yanayojaa, ukijifanya kachero wanayaacha yajae na yakijaa kufikia mabegani inakuwa ndiyo safari ya mwisho.
 
Kupitia hii kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake 3, ninajifunza mengi sana. Sasa kumbe waliokua wabishi na wasiovumilia mateso haya waliyoyatoa kina Goodluck kuna watu walikua wanadanja na kutupwa?

Kwanini wasiojulikana tusiseme kua ni hawa wa kina Goodluck? Hii kesi ni Mungu anapeleka ujumbe kwenye jamii. Sasa polisi wetu wamefikia pabaya, wamepitia jamii hasira mno isiyoelezeka. DPP angeondoa hii kesi mapema watu warudi uraiani kuliko walikofikia hivi sasa.

Kuna Komandoo inasemekana anaitwa Moses Lijenje, Polisi wanasema hawakumkamata mpaka leo hawajui alipo, Lakini hao hao kina Polisi kina Goodluck wanawaambia washtakiwa kua watawatupa kama walivyomtupa Moses Lijenje, hii maana yake nini? Watuambie Komandoo Moses Lijenje yupo wapi?
Si kirahisi hivyo tulia mleta mada hii kesi itafika mwisho pale kuna mbuzi wa kafara tulia
 
😩😩😩😩

Mkuuu asilimia kubwa ya Sentro kama sio zote

Zinakua na kachemba kakuteseaa..tena hiyo staili ya POPO

Wanaitumia sanaaa sanaa


Wengine inafikiaga hatua za kukuingizia spoku ya taili ya baiskel kwenye Mrija wa mboooo( wakifikiaga hii hatua, uwezekano wa kukunalizia ni mkubwa).
 
Mossea lijenje inaonekana aliuwawa,inauma sana.picha tuipatayo ni kwamba jeshi letu la polisi na Tiss ndiyo washiriki wa kuteka,kutesa, kupoteza na ikibidi kuuwa.haiwezekani Kodi zetu zitumike kulipia maharamia hao.
 
Back
Top Bottom