Kupitia hii kitu leo nitajua ni Members wangapi / gani wanajua Soka haswa!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kati ya Wachezaji hawa Watatu ( 3 ) nitakaowaorodhesha hapa nitajie mmoja ( 1 )tu ambaye unajua ni mahiri, fundi na mtaalam wa ukweli kwa kucheza ' Soka ' :
  1. Deco De Souza kutoka nchini Portugal.
  2. Xavi Hernandez kutoka nchini Spain.
  3. Andrea Pirlo kutoka nchini Italia.
Je kati ya hao hapo juu ni yupi ndiyo anafaa kuitwa ' pass master ' na ' engine room ' ya Timu yake awapo uwanjani?

Karibuni ' mtiririke ' kimichezo zaidi.
 
Deco wakati yupo kwenye ubora wake xavi alikua anakaa benchi

Deco kakamilika atakupigia pasi atakukaba na atapiga mashuti ya mbali na rafu atakuchezea bila wasiwasi

huyo ndio mbrazil aliyetimkia ureno Barca porto chelsea

Umenifanya ' nicheke ' sana Mkuu hasa hapo uliposema kuwa " na rafu atakuchezea bila wasiwasi ".
 
Mimi siwezi kumtaja wa kwangu hapo kwani nitaharibu ' mtiririko ' mzima wa ' uzi ' ila ninachowaomba endeleeni tu ' kutiririka ' kwani tayari nimeshaanza kuwaona wanaojua Soka na wasiojua kabisa.
 
deco first class pirlo second na xavi economy class (my opinion)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…