Kupitia kisa hiki, kama mume ungechukua hatua gani? Wanawake Je huyu mwenzenu yuko sahihi?

Hujui kuandika bro yaani ni aibu kwa taifa
 
Ushauri wa bure; Ukitaka kuoa/kuolewa kisha ikatokea ndugu/wazazi upande wa pili wakaweka pingamizi lolote USIOE/KUOLEWA TENA

Achana na maneno sijui mnaoana nyie, hilo halipoo ndoa ni taasisi na ni mali ya jamii sio yenu, vyenu ni hizo nyeti tu.
 
Ushauri wa bure; Ukitaka kuoa/kuolewa kisha ikatokea ndugu/wazazi upande wa pili wakaweka pingamizi lolote USIOE/KUOLEWA TENA

Achana na maneno sijui mnaoana nyie, hilo halipoo ndoa ni taasisi na ni mali ya jamii sio yenu, vyenu ni hizo nyeti tu.
Hata mimi naona
 
Sijui umeandikaje! Hata kama kuficha code sio kiiivi.. Doh!!
 
3. Mtoa mada amesimulia story yake binafsi huku akidanganya ni ya Rafiki yake mara ndugu wa karibu na kusababisha story isieleweke
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…