Kupitia NBC Premier League nchi inatangazika

Kupitia NBC Premier League nchi inatangazika

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Kwa miaka ya ivi karibuni league kuu ya soka ya Tanzania imeongeza hamasa ya kutazamwa na baadhi ya wana habari wa michezo wa kubwa toka nje ya Tanzania.

Kwa kipekee kabisa mchango unaofanywa na hawa wafanyabiashara wakubwa kuingia ktk soka na kuweka pesa ktk vilabu ambavyo vina umri mkubwa lkn haviendani na maendeleo waliyo nayo.. sasa ivi wafanya biashara hawa hawa leta hamasa ligi inatazamwa kupitia mdhamini wa Tv rights

Ni wazi Nchi inatazamwa katika nyanja ya mchezo wa soka , sasa ni vyema pia sekta kama ya utalii nayo ikadumbukizwa humo humo kwa maana TTB na wao wasiwe nyuma kuweka fedha walau kwa kilabu kama cha Simba, Utopolo, Azam ma Hawa Geita
 
Kwa miakanya ivi karibuni league kuubya sokq ya Tanzania imeongeza hamasa ya kutazamwa na baadhi ya wanahabari wa michezo wa kubwa toka nje ya Tanzania.

Kwa kipekee kabisa mchango unaofanywa na hawa wafanyabiashara wakubwa kuingia ktk soka na kuweka pesa ktk bilabu ambavyo vina umri mkubwa lkn haviendani na maendeleo wali nayo.. sasa ivi wafanya biashara hawa hawa leta hamasa ligi inatazamwa kupitia mdhamini wa Tv rights


Ni wazi Nchi inatazamwa katika nyanja ya mchezo wa soka , sasa ni vyema pia sekta kama ya utalii nayo ikadumbukizwa humo humo kwa maana TTB na wao wasiwe nyuma kuweka fedha walau kwa kilabu kama cha Simba, Utopolo, Azam ma Hawa Geita
Lengo la huu uzi ni nini hasa! Halafu ufanye kurekebisha hayo maneno yako ya mwanzo ili ueleweke vizuri.
 
Back
Top Bottom