Kupitia picha hizi imekuwa funzo bora kwangu 2024

Kupitia picha hizi imekuwa funzo bora kwangu 2024

Pendaelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
11,050
Reaction score
31,412
Ni siku za mwisho wa mwaka huu wa 2024, kila mmoja wetu ana fanya tathimini yake binafsi, familia jamii na hata taifa kwa ujumla.

Kila kunapo pambazuka hatukosi jipya la kujifunza, ikizingatiwa akili ya mwanadamu imeundwa kwa mfumo wa kujifunza wakati wote uhai ukiwepo.

Kwangu binafsi nimejifunza vingi na vingine nimejifunza kwa gharama kubwa ila kupitia picha hizi mbili nimejifunza kwa upekee na kuzingatia na pia kushirikisha jamii.


(1) haijalishi wingi wao, au wapo sahihi kiasi gani kama umeona wanaelekea kusiko kuzuri acha nao, haidhuru watakuona ajabu kiasi gani.

950c27a768a8521d9595bf7a914298c5.jpg
(2) haidhuru unapitia hali gani au ni mhitaji kiasi gani au ni maskini kiasi gani, asiache kufurahi na kutabasamu maana ujumla wa maisha ni furaha .
Unaweza ukatabasamu na kufurahi kwa mema na mazuri uyakumbukayo uliyo wahi kuyafanya.
14566398772681096(JPG).jpg
 
Ni siku za mwisho wa mwaka huu wa 2024, kila mmoja wetu ana fanya tathimini yake binafsi, familia jamii na hata taifa kwa ujumla.

Kila kunapo pambazuka hatukosi jipya la kujifunza, ikizingatiwa akili ya mwanadamu imeundwa kwa mfumo wa kujifunza wakati wote uhai ukiwepo.

Kwangu binafsi nimejifunza vingi na vingine nimejifunza kwa gharama kubwa ila kupitia picha hizi mbili nimejifunza kwa upekee na kuzingatia na pia kushirikisha jamii.


(1) haijalishi wingi wao, au wapo sahihi kiasi gani kama umeona wanaelekea kusiko kuzuri acha nao, haidhuru watakuona ajabu kiasi gani.

View attachment 3188539(2) haidhuru unapitia hali gani au ni mhitaji kiasi gani au ni maskini kiasi gani, asiache kufurahi na kutabasamu maana ujumla wa maisha ni furaha .
Unaweza unatabasamu na kufurahi kwa mema na mazuri uyakumbukayo uliyo wahi kuyafanya.
View attachment 3188547
ukijua kwamba ni maskini furaha hutoka kwa ugumu sana, ila kama hujui furaha itakua sio ya kifani kama ilivyo kwa watoto hao ambao bado hajielewi 🐒
 
ukijua kwamba ni maskini furaha hutoka kwa ugumu sana, ila kama hujui furaha itakua sio ya kifani kama ilivyo kwa watoto hao ambao bado hajielewi 🐒
Ni kweli kabisa ndugu yangu, gharama ya kujua ni kubwa mno, ndio maana kimaandiko ya kidini Mungu hakutaka mtu yule wa kwanza afahamu baadhi ya vitu, pindi tu alipo fahamu ndio maisha hayajawa sawa na alivyo taka Mungu tokea enzi hizo hadi leo.
Fahamu ukweli na pia zingatia sana kufahamu namna ya kuushi ukweli.
 
Back
Top Bottom