Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,781
Yatakufika tu LMAOWanaume wa Dar hawa!!
kama unauwezo wa kusafiri naweza nikakuambia its real nduguWana JF na Dr wa mahospitali,
Naomba kuuliza kama kuna mgonjwa aliyewahi kupona nguvu za kiume kwa kutumia Dawa za mitishamba au za hospitalini au vyakula vyenye virutubisho please naomba hizo contact za huyu Dr au mtaalamu aliyemsaidia kurudisha nguvu za kiume please.
Au kama wewe mwenyewe unajua namna ya kutoa msaada please π Natanguliza shukrani Maboss wangu.PLEASE HAMNA KUKWAZANA WAHESHIMIWA WAKUU WANGU π
NB.KWA WALE DR WA MAHOSPITALI KAMA KUNA SINDANO YA KUFANYA DAMU IWE NA MZUNGUKO MZURI KWENYE MISHIPA YA DAMU MSAADA WAKO TADHALI. UNAWEZA INBOX ME PLEASE.
Wana JF na Dr wa mahospitali,
Naomba kuuliza kama kuna mgonjwa aliyewahi kupona nguvu za kiume kwa kutumia Dawa za mitishamba au za hospitalini au vyakula vyenye virutubisho please naomba hizo contact za huyu Dr au mtaalamu aliyemsaidia kurudisha nguvu za kiume please.
Au kama wewe mwenyewe unajua namna ya kutoa msaada please π Natanguliza shukrani Maboss wangu.PLEASE HAMNA KUKWAZANA WAHESHIMIWA WAKUU WANGU π
NB.KWA WALE DR WA MAHOSPITALI KAMA KUNA SINDANO YA KUFANYA DAMU IWE NA MZUNGUKO MZURI KWENYE MISHIPA YA DAMU MSAADA WAKO TADHALI. UNAWEZA INBOX ME PLEASE.