Kupongezwa kwa wanafunzi 10 waliofanya vizuri kidato cha sita kunaakisi ubora wa shule za kata?

Kupongezwa kwa wanafunzi 10 waliofanya vizuri kidato cha sita kunaakisi ubora wa shule za kata?

Kimbojo

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2009
Posts
387
Reaction score
54
Bunge liliwapongeza wanafunzi waliofanya vizuri mitihani ya kidato cha sita kwa maana ya kuonesha ubora wa shule za kata. Mimi nina jiuliza kwanini hawakutafuta wanafunzi waliomaliza kidato cha nne na kufaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza?. hii ndio ingeakisi walau ubora wa shule za kata .Je kilichofanyika kina ukweli juu ya ubora wa shule za kata? ama nikuzikweza tu shule hizo?
 
Back
Top Bottom